Chini ya DC Jerry Muro, Ikungi kazi inaendelea

Chini ya DC Jerry Muro, Ikungi kazi inaendelea

the horse

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
652
Reaction score
442
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

IMG-20220212-WA0033.jpg


IMG-20220212-WA0032.jpg
 
Jerry Muro mzee wa "Usiku wa Habari".

Alinikuna sana na kipindi chake hiki cha TV
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
DC Muro unamtoa lini PCM ( DAB ) Uvunguni mwa moja ya Chumba chako hapo Ikungi ili Wadau wa Kisutu Mahakamani waweze Kumkabili?
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
Yupo huyu?
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
Aise......Kwa hiyo Ikungi ni mali yako
wewe Jeni Muro hadi useme Ikungi kazi inaendelea chini yako? Pumbavu kabisa. Rais DCs; RCs na Mawaziri wa namna hii ni jibu.
 
Tumeona busara
#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
Hili ni jembe la ukweli, na huu ni mwanzo tuu, sio kazi iendelee bali sasa Ikungi, kazi ndio kwanza, inaanza!.
Angalia track record yake kule alikotoka...
P
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
Siku hizi hajichetui kama ilivyokuwa enzi za Mwendakuzimu
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
Awamu hii ma RC na ma DC wote wamekuwa pilipili hoho. Awamu ya 5 walikuwa pilipili kichaa je ni kwa nini?
 
DC tutakuumbua vibaya wanaikungi tunajua yote yanayoendelea hivi sasa. Kuna taarifa za chini kwa chini pesa za Makundi ya vijana zinapigwa na makundi hewa yanayotengenezwa na Makada wa CCM. Mseme pesa za makundi maalum wanapata watumwa aina gani? Kwa bahati mbaya sana zinaliwa hazirudishwi.

Kuna taalifa za chini kwa chini kuwa mapato yatokanayo na migodi yanapigwa sana. Wanaikungi siyo wajinga muda wa kuongea bado haujafika. Ugomvi uliopo kati ya serikal na viongozi wa CCM ngazi ya wilaya ni migongano ya kimaslahi juu ya pesa. Tupo hapa halmashauri tunajuwa kinachoendelea na muda utazungumza.
 
Habari yakijinga isiyoeleza lamaana Bali mahaba ya mtoa mada kwa mtuwake
 
Tumeona busara kuongeza thamani ya kile lilichopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenyewe ulemavu kupitia maelekezo ya utoaji wa fedha asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri ya ikungi ili miradi inayobuniwa iweze kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao

Tunataka kutabadilisha maisha ya makundi haya matatu kwa kutumia mfumo imara wa kuhakikisha fedha wanazopatiwa zinaleta tija ya kubadili maisha yao kupitia shughuli za ubunifu wanazofanya katika kujipatia kipato

Ombi langu kwa vijana, kina mama na watu wenye ulemavu tujitahidi sana kubuni miradi endelevu yenye kuunganisha mnyororo wa thamani katika maeneo yao.

#IkungiYetu #KaziInaendelea

View attachment 2117365

View attachment 2117366
muulize vipi iletabia yake ya kuweka watu ndani bado anayo baada ya mwendazakekutoweka
 
Back
Top Bottom