Hata wa upinzani nao walikuwa hali moja sawa na waliokuwa Serikalini, wengine walikimbia nchi.
Ni lini CCM watakiri kuwa Marehemu Magufuli aligeuka na kuwa Dicteta kiasi ya wengine wakiwa nje ya nchi kumwita ni Dikteta uchwara?
Kwa upande wangu nyakati za kabla yake wengi tuliomba tupate kiongozi wa aina yake ili nchi ikae sawa na watu waheshimiane kwa kweli marehemu Magufuli alifanikiwa kwa hilo ikafikia viongozi hadi ngazi za chini walikuwa na heshima na adabu,wakisiliza hoja za wananchi na wakizifanyia kazi kwa haraka saana.
Magufuli alifanikiwa kuwadhibiti viongozi wote waliomo Serikalini na pamoja wa chama chake na kuwafanya wawe powerless, wenye kufuata upepo na amri bila ya kusema kwin'yoo. Aliwaweza vibaya sana.
Naona ni wakati sasa kwa CCM kukubali kuwa Bwana yule aliwaweka kiganjani na kuwatumia kama remote, CCM wakiri kuwa jamaa alikuwa dikteta dhidi yao.
Ni lini CCM watakiri kuwa Marehemu Magufuli aligeuka na kuwa Dicteta kiasi ya wengine wakiwa nje ya nchi kumwita ni Dikteta uchwara?
Kwa upande wangu nyakati za kabla yake wengi tuliomba tupate kiongozi wa aina yake ili nchi ikae sawa na watu waheshimiane kwa kweli marehemu Magufuli alifanikiwa kwa hilo ikafikia viongozi hadi ngazi za chini walikuwa na heshima na adabu,wakisiliza hoja za wananchi na wakizifanyia kazi kwa haraka saana.
Magufuli alifanikiwa kuwadhibiti viongozi wote waliomo Serikalini na pamoja wa chama chake na kuwafanya wawe powerless, wenye kufuata upepo na amri bila ya kusema kwin'yoo. Aliwaweza vibaya sana.
Naona ni wakati sasa kwa CCM kukubali kuwa Bwana yule aliwaweka kiganjani na kuwatumia kama remote, CCM wakiri kuwa jamaa alikuwa dikteta dhidi yao.