Chini ya masaa 72 baada ya kutoka Urusi na Japan, Uhuru Kenyatta aondoka tena Kenya

Chini ya masaa 72 baada ya kutoka Urusi na Japan, Uhuru Kenyatta aondoka tena Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
 
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
KWANI TANGANYIKA NA KENYA IPI ILIYOENDELEA
 
Ungelijiuliza kwnn mnanunua mindege wakati bongo vyuma vimekazaa
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
 
Yuko kwenye fungate
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
 
Kwani wewe ni mlipa ushuru Kenya?
Kwa kweli Magufuli aliwapa kazi bozo ovyo sana. You really don't sound like a qualified intelligence officer. Hapa kenya guard wa G4S anakushinda na akili!
 
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
Ya jirani yanakuwasha nini sasa.
 
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
Jiwe hawezi fika South Africa kisa atanyang'anywa Ndege na mkulima afu arudi mguu ama aanze omba omba Kama kawaida😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hivi hapo Kenya kuna tatizo gani, kwanini Uhuru Kenyatta hapendi kukaa muda mrefu kutatua shida za wananchi wake wanaokabiliwa na matatizo lukukii?.

Muda mwingi wa Uhuru Kenyatta anautumia akiwa katika ndege za kifahari angani, na katika nchi za nje, inaonekana kama vile anahisi usumbufu akiwa Kenya akisikia kelele za Tangatanga na kieleweke.

Sasa gharama zote hizi añazopoteza, mbona hatuoni matunda yake, badala yake World Bank inatoa tahadhari kwa wakopeshaji na wawekezaji wasikubali kuikopesha Kenya kwasababu haina uwezo wa kulipa Madeni?
Kenyatta akili zake za kimjini mjini kama Kikwete the don.
Waswahili wanasema mtembea bure si sawa na mkaa bure.
 
Back
Top Bottom