Chips na nguvu za kiume

Chips na nguvu za kiume

Kwa mwenye uthibitisho jamani, je kuna ukweli wowote kuwa ulaji wa chips unasababisha upungufu wa nguvu zakiume?


Watu wanasingizia chipsi sijui kutafuta jibu rahisi au ni nini,kwani chipsi si wanga sawa na ugali,wali,chapati na vyakula vingine vya
wanga?

Acheni kuwahi kufanya ngono,na kufanya na wanawake wengi ukidhani sifa,ukija kuoa kifaa kinakuwa ni mtumba wa grade ya mwisho matokeo ndio hayooo .
 
kumbe chips ni viazi? My friends kama una tatizo la gesi tumboni hata unywe dawa gani haitatibu hata ufanye nini kwa sbb gesi ndo inasemekana kukata hisia hivo kushindwa kurudia tendo...dawa ya kuondoa gesi muone mzizi mbichi(mkavu)..
 
Kwa mwenye uthibitisho jamani, je kuna ukweli wowote kuwa ulaji wa chips unasababisha upungufu wa nguvu zakiume?

Chips kama chipsi (viazi) huongeza nguvu za kiume tena sana kwa kuwa viazi ni wanga kama alivyosema mmoja hapo,tatizo watu wanakimbilia nguvu za kiume kabla ya kutafuta nguvu ya mwili kwanza.

ILA KINACHOFANYA CHIPSI ZIPUNGUZE NGUVU ZA KIUME NI HIZO CHILL SAUCE NA TOMATO SAUCE ZA VIWANDANI kwa kuwa hizo chill sauce na tomato huhifadhiwa na SODIUM BENZOATE ambayo ni mhimu sana katika kusababisha ugonjwa wa kisukari, viwanda vingine wamegunduwa hilo na hawaandiki sodium benzoate bali huweka tu namba zinazoanza na E....

Ili kuwaficha wavivu kupekua ukweli. Lakini pia ni vema mafuta yanayotumika kukaangia chipsi yatumike mara moja tu na siyo kila siku mpaka yanakuwa meusi nyinyi mnakula tu yakiwa tayari yametengeneza sumu iitwayo carbonmonoxide.

Chipsi zipikwe nyumbani kwenu na mle na kachumbali tu, utaona kitu kama mbao!!!.kumbukeni pia kunywa maji ml 500 kila nusu saa kabla ya kula chochote.
 
Kuanzia viaz now ni sum vinaoteshwa na madawa chungu nzima.

Ukija kwenye mapishi nako balaa mbali ya kupikia mafuta zaidi ya mara 3 wahun huchanganya na mafuta ya transformer.

Ukija kwenye viungo huko ni balaa tupu chear source,tomato na mayornase ni sumu tupu imejaa.

Kingine watu wanakula vyakula vya ajabu ajabu sana mwanaume piga chakula cha ukweli cha kutia nguvu na kujenga mwili halafu nenda mzigon uone kama utabwata tena..

Dawa ya nguvu za kiume na magonjwa sugu kama ukimwi ni ndogo sana na haina gharama yoyote ile.
 
Back
Top Bottom