Kuanzia viaz now ni sum vinaoteshwa na madawa chungu nzima.
Ukija kwenye mapishi nako balaa mbali ya kupikia mafuta zaidi ya mara 3 wahun huchanganya na mafuta ya transformer.
Ukija kwenye viungo huko ni balaa tupu chear source,tomato na mayornase ni sumu tupu imejaa.
Kingine watu wanakula vyakula vya ajabu ajabu sana mwanaume piga chakula cha ukweli cha kutia nguvu na kujenga mwili halafu nenda mzigon uone kama utabwata tena..
Dawa ya nguvu za kiume na magonjwa sugu kama ukimwi ni ndogo sana na haina gharama yoyote ile.