Habari wakuu,,,
Msistuke kusikia Magufuli [emoji16][emoji16]ni jina la kijana wa mtaani kabisa..
Aiseeh kuna wakaka wawili maeneo ya supa Masaki,wote ni watu wa kanda ya kaskazini..huyo niliyekula leo chipsi kwake anaitwa Magufuli halloo anapika chipsi vumbi na mishkaki mitamu ni kinyamaaaa..
Mwanzo nilikuwa napaona pabaya pabaya tu lkni aiseeh kumbe ni bonge la chimbo ni kinyama...
[emoji16][emoji16][emoji16]sifanyi matangazo,maana watu hawakawii[emoji6][emoji6][emoji6]
"Timoth"(Kyalow)baba nitakupeleka ukapambane na vumbi la pale.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji111]️
Karibuni.
View attachment 771191View attachment 771194View attachment 771196