Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikatae bana neema za muumba waliojazajaza kwa mujib wa kipozeo ndo tunawapenda cc.[emoji6][emoji6][emoji6]sio mimi mkuu...ni mteja mwingine
Ukiona chipsi zimekuwa tamu (isivyo kawaida) basi ujue wese lililotumika kuzikaanga ni la yule myama pendwa!
Duh! Nimekunyooshea mikono! Wewe ni hatari kwenye hii fani!
Ndambi piakm hilo paja ni lako basi utakuw na msambwanda wa hatare.wakubwa wanafaidi.
Hao wa dar waliohamia pia Bilal ( Rip)aunt Suzy,delicious, bashite kuna kina Ray si wa maigizo nimemjua juzi,Hili tangazo linawafaa wanaume wa Daslam....[emoji12] [emoji12]
Habari wakuu,,,
Msistuke kusikia Magufuli [emoji16][emoji16]ni jina la kijana wa mtaani kabisa..
Aiseeh kuna wakaka wawili maeneo ya supa Masaki,wote ni watu wa kanda ya kaskazini..huyo niliyekula leo chipsi kwake anaitwa Magufuli halloo anapika chipsi vumbi na mishkaki mitamu ni kinyamaaaa..
Mwanzo nilikuwa napaona pabaya pabaya tu lkni aiseeh kumbe ni bonge la chimbo ni kinyama...
[emoji16][emoji16][emoji16]sifanyi matangazo,maana watu hawakawii[emoji6][emoji6][emoji6]
"Timoth"(Kyalow)baba nitakupeleka ukapambane na vumbi la pale.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji111]️
Karibuni.View attachment 771191View attachment 771194View attachment 771196
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]kumbe na wewe umo eee...[emoji16][emoji16]