Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Multi billion company halafu unasema ubunifu sifuri? Waachie wenyewe wana walengwa wao.
Ni kweli na ndio wanakoongoza kwa NCD's.achane ushamba wa tanzania chips inaliwa ulimwenguni kote haina mwanaume au mwanamke duniani kote kuna KFC branches za kimarekani. na ulaya ndio wanaoongoza kwa kula chips
Jambo rahisi ni kulalamika na kuponda.Malalamiko fc katika ubora wenu
Ushamba ni kufananisha chips za KFC na zege unalokula kitaaniachane ushamba wa tanzania chips inaliwa ulimwenguni kote haina mwanaume au mwanamke duniani kote kuna KFC branches za kimarekani. na ulaya ndio wanaoongoza kwa kula chips
Sio lazima kila kitu ukiingia mkonoImagine zama hizi ambazo dunia nzima inapambana na magonjwa yasiyoambukiza (Non Communicable Diseases) yakiwemo Magonjwa ya Moyo, Sukari, Cancers etc, ni nyakati ambazo dunia nzima inasisitiza kuepuka vyakula vyenye viashiria vya visababishi vya Magonjwa haya (kwa mfano kuepuka vyakula vinavyolowekwa kwenye mafuta kama chips etc) lakini hawa jamaa wameanzisha kabisa kampeni ya ku promote Chips Zege.
Je, kuna lengo gani nyuma ya kampeni zao? Kulikua na umuhimu gani wa ku promote Chips zege tena kwa vijana wa Dar es Salaam?
My take: Hawa jamaa badala ya ku promote lifestyle na vyakula vinavyotajwa kuwa na visababishi vya NCD, basi wangetumia muda huo ku promote ulaji wa balanced diets, matunda kwa wingi, white meat, mboga mboga etc.
Wenyewe wanasema "mbuzi kala koti"Sishangai kuona clouds wanafanya hivyo sababu huwa wanapenda kwenda na trend haijalishi iwe nzuri au mbaya wanapita nayo hivyo hivyo..
Adam ni wa ChugaMadume mazima mimi niliona ile kitu siku ya uzinduzi nilishangaa sana kweli Nchi ina vijana wa ajabu sana jitu kama Adam kweli na vichips wapi na wapi kweli wanaume wa Dar mmetisha aisee
Eti mbuzi kala koti, hahaWenyewe wanasema "mbuzi kala koti"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo hapo ukiwakuta wanagombea vimishkaki vya ofa utwaonea huruma..halafu wana kelele hao
Hawa jamaa ni miongoni mwa illiterate people hawana weledi, wanakurupuka Sana na Wana jipendekeze Sana ili kupata TEUZI wako hopeless but also serikali inawatazama tu wakati miongozo ipoImagine zama hizi ambazo dunia nzima inapambana na magonjwa yasiyoambukiza (Non Communicable Diseases) yakiwemo Magonjwa ya Moyo, Sukari, Cancers etc, ni nyakati ambazo dunia nzima inasisitiza kuepuka vyakula vyenye viashiria vya visababishi vya Magonjwa haya (kwa mfano kuepuka vyakula vinavyolowekwa kwenye mafuta kama chips etc) lakini hawa jamaa wameanzisha kabisa kampeni ya ku promote Chips Zege.
Je, kuna lengo gani nyuma ya kampeni zao? Kulikua na umuhimu gani wa ku promote Chips zege tena kwa vijana wa Dar es Salaam?
My take: Hawa jamaa badala ya ku promote lifestyle na vyakula vinavyotajwa kuwa na visababishi vya NCD, basi wangetumia muda huo ku promote ulaji wa balanced diets, matunda kwa wingi, white meat, mboga mboga etc.