Chips Zege ya Clouds

achane ushamba wa tanzania chips inaliwa ulimwenguni kote haina mwanaume au mwanamke duniani kote kuna KFC branches za kimarekani. na ulaya ndio wanaoongoza kwa kula chips
Ni kweli na ndio wanakoongoza kwa NCD's.
 
achane ushamba wa tanzania chips inaliwa ulimwenguni kote haina mwanaume au mwanamke duniani kote kuna KFC branches za kimarekani. na ulaya ndio wanaoongoza kwa kula chips
Ushamba ni kufananisha chips za KFC na zege unalokula kitaani
 
Sio lazima kila kitu ukiingia mkono

Jifunze kuelewa muktadha mzima wa chips zege
 
Ndio mana magonjwa ya sukari na presha ni mengi sana biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Madume mazima mimi niliona ile kitu siku ya uzinduzi nilishangaa sana kweli Nchi ina vijana wa ajabu sana jitu kama Adam kweli na vichips wapi na wapi kweli wanaume wa Dar mmetisha aisee
Adam ni wa Chuga
 
Wenyewe wanasema "mbuzi kala koti"
Eti mbuzi kala koti, haha
Clouds wana walengwa wao.. inaweza kuwa sio mimi na wewe lakini wapo watu wanafurahia hivi vitu..

Kupitia huo huo unaoonekana “ujinga “ kuna watu wanaenjoy mnoo na clouds nao wanapata walichokitaka...
 
Hawa jamaa ni miongoni mwa illiterate people hawana weledi, wanakurupuka Sana na Wana jipendekeze Sana ili kupata TEUZI wako hopeless but also serikali inawatazama tu wakati miongozo ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…