Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni ukweli wa wazi kwamba kwenye majukwaa ya JF MMU linabamba, MMU ni kama lango la JF kwakuwa wengi tumeingia JF kupitia hapo..... Naweza kusema ndio jukwaa pendwa zaidi labda kwakuwa linahusika na hisia na mahusiano
Ukiachana na majukwaa mengine jukwaa lingine maarufu ni CHITCHAT lakini ambalo kuna wakati lilipoteza kabisa mvuto mpaka kufikia kuandikiwa post! Inawezekana kabisa ni kutokana na ndoa nyingi za JF kuvunjika hali iliyopekelea familia nyingi za CHITCHAT kuparaganyika kabisa
CHITCHAT imeweza kupita salama kipindi hicho kigumu na sasa ikiwa na mwonekano mpya(kimaudhui) kutokana na nyuzi na wachangiaji wake imekuwa ndio jukwaa linalobamba kwa uchangiaji na kusomwa zaidi.... MMU imepigwa mweleka mbaya
Nawapongeza sana CHITCHAT NEW GENERATION kwa ubunifu na kujituma mambo yaliyopelekea kuiinua up ya CHITCHAT
Hongereni sana[emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji323] [emoji323] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji781] [emoji781] [emoji781] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji188] [emoji188] [emoji116]
Post sent using JamiiForums mobile app
Ukiachana na majukwaa mengine jukwaa lingine maarufu ni CHITCHAT lakini ambalo kuna wakati lilipoteza kabisa mvuto mpaka kufikia kuandikiwa post! Inawezekana kabisa ni kutokana na ndoa nyingi za JF kuvunjika hali iliyopekelea familia nyingi za CHITCHAT kuparaganyika kabisa
CHITCHAT imeweza kupita salama kipindi hicho kigumu na sasa ikiwa na mwonekano mpya(kimaudhui) kutokana na nyuzi na wachangiaji wake imekuwa ndio jukwaa linalobamba kwa uchangiaji na kusomwa zaidi.... MMU imepigwa mweleka mbaya
Nawapongeza sana CHITCHAT NEW GENERATION kwa ubunifu na kujituma mambo yaliyopelekea kuiinua up ya CHITCHAT
Hongereni sana[emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji323] [emoji323] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji781] [emoji781] [emoji781] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji188] [emoji188] [emoji116]
Post sent using JamiiForums mobile app