Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
niangalizie na mmi jina langu broAsalaam. Naskia matokeo yetu yametoka ngoja nikaangalie niende chuo nami niwe na mwandiko wa kisomi kama mshana jr
huku niliko hakuna network
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niangalizie na mmi jina langu broAsalaam. Naskia matokeo yetu yametoka ngoja nikaangalie niende chuo nami niwe na mwandiko wa kisomi kama mshana jr
HahaKama ni chuoni tu Mh, mshanajnr ana qualifications za angali ya saba katika uandishi.
Umezungusha. Tatizo lako uliendekeza mapenziniangalizie na mmi jina langu bro
huku niliko hakuna network
mbona nlikuwa nasoma sanaUmezungusha. Tatizo lako uliendekeza mapenzi
Ila matokeo ya Ajabu saana. Ukiwa unayaangalia muda huo hata ukiambiwa baby ninamimba yako.mbona nlikuwa nasoma sana
hebu angalia vzuri bhana
hahahahaIla matokeo ya Ajabu saana. Ukiwa unayaangalia muda huo hata ukiambiwa baby ninamimba yako.
Unaona sio ishu.
Hongereni kwa kufaulu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hahahaha
sanaa asee
kuna kuwaga kuna hali flan hivo kama there is nothing else than matokeo duniani.
halaf inachosha kuwa watu wanao shobokea matokeo huwa ni wengi ndugu, wazaz, majirani etc
Ila matokeo ya Ajabu saana. Ukiwa unayaangalia muda huo hata ukiambiwa baby ninamimba yako.
Unaona sio ishu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongereni kwa kufaulu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msando ndio nani? Mi thimjui[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ahsanteeee
nataka nikasomee koz aliyo somea Albert Msando. pale mlimani
kaka angu, mimi si Iceman 3D Msando bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msando ndio nani? Mi thimjui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kaka angu, mimi si Iceman 3D Msando bhana
wewe muulize huyo kwenye avatar yako ana mfaham
hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utaweza ?hahahaha
skubali lazma niwe kama kaka
hahahaUtaweza ?