Chochea wa mrisho mpoto- msikilize na utafakari

Chochea wa mrisho mpoto- msikilize na utafakari

Rugaijamu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
2,942
Reaction score
1,298
'Chocheeni kuni mbichi moto ukolee......
Unawaulizaje watu magongo ya ni nini wakati umesema kuna nyoka?
Mjomba wewe uliwapaka wanja, ngoja wao wakupake pilipili, alafu kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga....."

Pakua na umsikilize
 
'Chocheeni kuni mbichi moto ukolee......
Unawaulizaje watu magongo ya ni nini wakati umesema kuna nyoka?
Mjomba wewe uliwapaka wanja, ngoja wao wakupake pilipili, alafu kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga....."

Pakua na umsikilize


Link iko wapi mkuu?
 
Very good message to our rogue politicians and all those who do not want anything good for our people and nation
 
Very good message to our rogue politicians and all those who do not want anything good for our people and nation

haende shule ya ushairi au aache mziki akauze mabazee mziki ushamshinda mrisho hana jipya kila siku mjomba mjomba...wakati Irene Sanga na Mzee Mgunga wanamuandikia nyimbo kwenye album ya kwanza alidhani lahisi sasa ndio ajifunze kuheshimu waliomsaidia sio kujifanya anaandika mwenyewe na matusi juu.
 
Back
Top Bottom