Chokaa, gypsum powder, wallputy na white cement kwa ajili ya kusafisha ukuta

Chokaa, gypsum powder, wallputy na white cement kwa ajili ya kusafisha ukuta

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,🎚️baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi.

Nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home, nilichojifunza kuhusu hizi material

1. Hakuna tofauti yoyote kati ya gypsum powder na chokaa, kinachoamua ukuta uwe smooth ni uwezo wa fundi tu, zote zinapigwa na fungus sana.

2. Wallputy ni nzuri zaidi ya chokaa na gypsum kwa sababu hairuhusu fungus kirahis,kwenye muenekano wa ukuta zote zipo sawa ni ubora wa fundi unamua.

3. White cement ni best sana kwa ubora, na cheap ukilinganisha na wallputy na material nyingine , kwenye muenakano wa ukuta narudi tena ubora wa fundi unamua, unaweza tumia chokaa ukuta wako ukawa smooth na ukatumi white cement ukuta unakuboa.

Nimejifunza hya kwa sababu napenda nyumba na naendelea kujenga nyumba mfuko unaporuhusu.
 
miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,[emoji2425]baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi , nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home, nilichojifunza kuhusu hizi material 1. hakuna tofauti yoyote kati ya gypsum powder na chokaa , kinachoamua ukuta uwe smooth ni uwezo wa fundi tu , zote zinapigwa na fungus sana , 2.wallputy ni nzuri zaidi ya chokaa na gypsum kwa sababu hairuhusu fungus kirahis,kwenye muenekano wa ukuta zote zipo sawa ni ubora wa fundi unamua, 3. white cement ni best sana kwa ubora , na cheap ukilinganisha na wallputy na material nyingine , kwenye muenakano wa ukuta narudi tena ubora wa fundi unamua, unaweza tumia chokaa ukuta wako ukawa smooth na ukatumi white cement ukuta unakuboa , nimejifunza hya kwa sababu napenda nyumba n naendelea kujenga nyumba mfuko unaporuhusu
Nahisi kwa sasa kazi ya rangi imeingiliwa na makanjanja, kwa sababu unakuta ukuta umeskimiwa lakini una mabonde mabonde na vijishimo vinaonekana dhahiri hata kwa mbali
 
miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,[emoji2425]baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi , nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home, nilichojifunza kuhusu hizi material 1. hakuna tofauti yoyote kati ya gypsum powder na chokaa , kinachoamua ukuta uwe smooth ni uwezo wa fundi tu , zote zinapigwa na fungus sana , 2.wallputy ni nzuri zaidi ya chokaa na gypsum kwa sababu hairuhusu fungus kirahis,kwenye muenekano wa ukuta zote zipo sawa ni ubora wa fundi unamua, 3. white cement ni best sana kwa ubora , na cheap ukilinganisha na wallputy na material nyingine , kwenye muenakano wa ukuta narudi tena ubora wa fundi unamua, unaweza tumia chokaa ukuta wako ukawa smooth na ukatumi white cement ukuta unakuboa , nimejifunza hya kwa sababu napenda nyumba n naendelea kujenga nyumba mfuko unaporuhusu
Shida ya white cement inahitaji rangi kuchanganyia, lakini wall puty unatumia maji tu kuchanganyia. Hivyo unaposema white cement ni cheap, angalia overall cost wakati wa kufanya application (yani mjumuiko wa mahitaji yote ili hiyo material iweze kutumika)

Kwa mahitaji ya Ramani, Makadirio au Ushauri kuhusu ujenzi tuwasiliane PM
 
Inawezekana unayo sema ikawa sawa machoni lkn ikatofautiana na matokeo halisi ktk matumizi ya bidhaa hizi.
Chokaa haiwezi kulingana na special material for walls vyenye viambata vya mazingira ya ukuta.
Chokaa kwanza ujue haina gundi pale inapokuwa ukutani haiwezi kuishi parefu kwenye matumizi ya watu wengi
Kuna gypsum powder hii ni kwa ajili ya gypsum board tu haifai kuiskim ukutani
White cement ni kama zilivyo Cement nyingine tu kwenye kutumia bila white emulsion huwezi kufanyia kazi na matokeo yake ina madhara kwenye finishing za rangi hasa dark shades
Wallputty eg. Coral, Jk, white skimming et hizi ni maalum kwa kuta zote external and internal walls safi no fedding no cracks
Umekosa wallputty go for white cement lkn Sio chokaa
 
Inawezekana unayo sema ikawa sawa machoni lkn ikatofautiana na matokeo halisi ktk matumizi ya bidhaa hizi.
Chokaa haiwezi kulingana na special material for walls vyenye viambata vya mazingira ya ukuta.
Chokaa kwanza ujue haina gundi pale inapokuwa ukutani haiwezi kuishi parefu kwenye matumizi ya watu wengi
Kuna gypsum powder hii ni kwa ajili ya gypsum board tu haifai kuiskim ukutani
White cement ni kama zilivyo Cement nyingine tu kwenye kutumia bila white emulsion huwezi kufanyia kazi na matokeo yake ina madhara kwenye finishing za rangi hasa dark shades
Wallputty eg. Coral, Jk, white skimming et hizi ni maalum kwa kuta zote external and internal walls safi no fedding no cracks
Umekosa wallputty go for white cement lkn Sio chokaa
Fikra kinzani kama hizi husaidia sie tusioelewa kupata angalau mwanga wa hizi mambo.

Ahsante sana Mkuu .
 
Shida ya white cement inahitaji rangi kuchanganyia, lakini wall puty unatumia maji tu kuchanganyia. Hivyo unaposema white cement ni cheap, angalia overall cost wakati wa kufanya application (yani mjumuiko wa mahitaji yote ili hiyo material iweze kutumika)

Kwa mahitaji ya Ramani, Makadirio au Ushauri kuhusu ujenzi tuwasiliane PM
Kwa hiyo white cement ni nzuri zaidi ya wall puty ama?
 
Shida ya white cement inahitaji rangi kuchanganyia, lakini wall puty unatumia maji tu kuchanganyia. Hivyo unaposema white cement ni cheap, angalia overall cost wakati wa kufanya application (yani mjumuiko wa mahitaji yote ili hiyo material iweze kutumika)

Kwa mahitaji ya Ramani, Makadirio au Ushauri kuhusu ujenzi tuwasiliane PM
Mkuu, inawezekana ukawa sahihi japo kwa asilimia kubwa naungana na mtoa maada.
Hebu nizunhumzie white cement na wall putty ambazo nimeshakutumia Sana, gypsum powder nimetumia kwenye ceiling ndio maana sitoizungumzia. Chokaa sijatumia kabisa.
1. Kuna kazi nimeifanya mahali nimetumia Wall putty mifuko 41 ya 25kg. Tulishauriana tutumie hiyo coz tulidhani ingeokoa gharama(mie sio mzoefu Sana kwenye finishing) kwa ushauri wa fundi.
Ukipiga hesabu, mfuko mmoja nilinunua 22,500*41=922,500/=
2. Makadirio ya white cement (Kama tungeamua kuzitumia kwa eneo hilohilo Kama mbadala wa wall putty, zingetumika white cement mifuko 10 tu ya 30kg. Ndoo za rangi ya kuchenganyia zingetakiwa ndoo 5 au pungufu ya 5.
Mfuko wa white cement unauzwa 35,000*10=350,000/=
Bei ya rangi ndoo ya Lita 20=30,000*5=150,000/=
Jumla ni 500,000/=
Ukiangalia tofauti ni 422,500/= kwa kazi yote Kama ningechagua kutumia white cement. So, kwangu mie white cement ni nzuri kwa budget na durability ya kazi ukilinganisha na hizi materials zingine.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, inawezekana ukawa sahihi japo kwa asilimia kubwa naungana na mtoa maada.
Hebu nizunhumzie white cement na wall putty ambazo nimeshakutumia Sana, gypsum powder nimetumia kwenye ceiling ndio maana sitoizungumzia. Chokaa sijatumia kabisa.
1. Kuna kazi nimeifanya mahali nimetumia Wall putty mifuko 41 ya 25kg. Tulishauriana tutumie hiyo coz tulidhani ingeokoa gharama(mie sio mzoefu Sana kwenye finishing) kwa ushauri wa fundi.
Ukipiga hesabu, mfuko mmoja nilinunua 22,500*41=922,500/=
2. Makadirio ya white cement (Kama tungeamua kuzitumia kwa eneo hilohilo Kama mbadala wa wall putty, zingetumika white cement mifuko 10 tu ya 30kg. Ndoo za rangi ya kuchenganyia zingetakiwa ndoo 5 au pungufu ya 5.
Mfuko wa white cement unauzwa 35,000*10=350,000/=
Bei ya rangi ndoo ya Lita 20=30,000*5=150,000/=
Jumla ni 500,000/=
Ukiangalia tofauti ni 422,500/= kwa kazi yote Kama ningechagua kutumia white cement. So, kwangu mie white cement ni nzuri kwa budget na durability ya kazi ukilinganisha na hizi materials zingine.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
Hiyo bei ya rangi ni sahihi kweli? 30k!!
 
Ni sahihi Sana ndugu. Rangi ya kuchanganyia ni Emulsion, mikoa Kama dsm bei hata chini ya 30k unapata.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
Ukija kwenye ubora, wall puty unaionaje? Mi binafsi white cement siipendelei kwa sababu ikishaanza kukauka inatengeneza kama nyufa nyufa, na hii ni kwa sababu reaction kati ya wc na rangi ni exothermic reaction ambayo inainvolve uzalishaji wa joto kwa wingi. Uwingi wa material pia unategemea na workmanship (mafundi), 1kg ya wall puty inacover 1sqm ya ukuta (single coat), sasa sijui kama hicho kiasi cha wallputy kilichotumika ni sahihi au lah kulingana na ukubwa wa kazi uliopo
 
Mkuu, inawezekana ukawa sahihi japo kwa asilimia kubwa naungana na mtoa maada.
Hebu nizunhumzie white cement na wall putty ambazo nimeshakutumia Sana, gypsum powder nimetumia kwenye ceiling ndio maana sitoizungumzia. Chokaa sijatumia kabisa.
1. Kuna kazi nimeifanya mahali nimetumia Wall putty mifuko 41 ya 25kg. Tulishauriana tutumie hiyo coz tulidhani ingeokoa gharama(mie sio mzoefu Sana kwenye finishing) kwa ushauri wa fundi.
Ukipiga hesabu, mfuko mmoja nilinunua 22,500*41=922,500/=
2. Makadirio ya white cement (Kama tungeamua kuzitumia kwa eneo hilohilo Kama mbadala wa wall putty, zingetumika white cement mifuko 10 tu ya 30kg. Ndoo za rangi ya kuchenganyia zingetakiwa ndoo 5 au pungufu ya 5.
Mfuko wa white cement unauzwa 35,000*10=350,000/=
Bei ya rangi ndoo ya Lita 20=30,000*5=150,000/=
Jumla ni 500,000/=
Ukiangalia tofauti ni 422,500/= kwa kazi yote Kama ningechagua kutumia white cement. So, kwangu mie white cement ni nzuri kwa budget na durability ya kazi ukilinganisha na hizi materials zingine.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
Hivi vitu ni very calculated hebu fikiria umetumia mifuko ya wallputty 40 ×kilo 20 kwa mfuko=800kg halafu ukaona eneo hilo ungetumia white cement 10 ×30kg kwa mfuko =300. How?
Kwenye uchanganyaji wa white cement mfuko 1 ni ndoo 2 za white emulsion kwa skimming ya coat mbili.
Adhari ya white cement ukutani unaweza kuiona ndani ya muda mfupi au muda muda mrefu mbeleni.
Sasa ni choice yako wewe customer uamue ipi utumie ana ipi usitumie
Na mwisho eneo linaloingia mifuko zaidi 40 white cement mifuko 10 himalizi asilani
 
Ukija kwenye ubora, wall puty unaionaje? Mi binafsi white cement siipendelei kwa sababu ikishaanza kukauka inatengeneza kama nyufa nyufa, na hii ni kwa sababu reaction kati ya wc na rangi ni exothermic reaction ambayo inainvolve uzalishaji wa joto kwa wingi. Uwingi wa material pia unategemea na workmanship (mafundi), 1kg ya wall puty inacover 1sqm ya ukuta (single coat), sasa sijui kama hicho kiasi cha wallputy kilichotumika ni sahihi au lah kulingana na ukubwa wa kazi uliopo
Ukute pia plaster yake ilikua haijanyooka sana na ilikua so rough kwahyo kwnye wallputty ikabd wa skim mark nene zaidi ya kawaida.
 
Hivi vitu ni very calculated hebu fikiria umetumia mifuko ya wallputty 40 ×kilo 20 kwa mfuko=800kg halafu ukaona eneo hilo ungetumia white cement 10 ×30kg kwa mfuko =300. How?
Kwenye uchanganyaji wa white cement mfuko 1 ni ndoo 2 za white emulsion kwa skimming ya coat mbili.
Adhari ya white cement ukutani unaweza kuiona ndani ya muda mfupi au muda muda mrefu mbeleni.
Sasa ni choice yako wewe customer uamue ipi utumie ana ipi usitumie
Na mwisho eneo linaloingia mifuko zaidi 40 white cement mifuko 10 himalizi asilani
Hivi wall putty inafaa pia kuskim gypsum boards?
 
Hivi vitu ni very calculated hebu fikiria umetumia mifuko ya wallputty 40 ×kilo 20 kwa mfuko=800kg halafu ukaona eneo hilo ungetumia white cement 10 ×30kg kwa mfuko =300. How?
Kwenye uchanganyaji wa white cement mfuko 1 ni ndoo 2 za white emulsion kwa skimming ya coat mbili.
Adhari ya white cement ukutani unaweza kuiona ndani ya muda mfupi au muda muda mrefu mbeleni.
Sasa ni choice yako wewe customer uamue ipi utumie ana ipi usitumie
Na mwisho eneo linaloingia mifuko zaidi 40 white cement mifuko 10 himalizi asilani
Ndugu, unabisha Ila sidhani Kama Lita 36 za rangi+maji ya kuchanganyia Kama vitamudu kilo 30 za cement. Otherwise kuwe na tofauti za kiufundi katika kuchanganyia. The same apartment ilitumika wastani wa mifuko 10 ya wc (ilijengwa kabla) na fundi ni yule yule. Labda Kama huchanganyi na maji, Ila fundi wangu anachanganya na maji kiasi.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom