malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu
Mnamo mwezi wakwanza mwaka huu nilipima cholesterol total na blood urea zilikua ziko juu zaid ya inavotakiwa...
Mpaka kufikia Sasa nikuanzia siku Tano nyuma nimeanza kusikia maumivu makali upande wa usawa wa figo kulia chini ya mbavu kuelekea mgongoni halii hii nikinywa maji mengi labda lita4 Hali ya maumivu hutulia..
Ila nkianza kukojoa Hadi mkojo woote maji niliyokunywa yakiisha basi ntaanza kuskia maumivu ya sehemu usawa wafigo la kushoto kuja chini ya mbavu yatakuwepo mda wote
Mnamo mwezi wakwanza mwaka huu nilipima cholesterol total na blood urea zilikua ziko juu zaid ya inavotakiwa...
Mpaka kufikia Sasa nikuanzia siku Tano nyuma nimeanza kusikia maumivu makali upande wa usawa wa figo kulia chini ya mbavu kuelekea mgongoni halii hii nikinywa maji mengi labda lita4 Hali ya maumivu hutulia..
Ila nkianza kukojoa Hadi mkojo woote maji niliyokunywa yakiisha basi ntaanza kuskia maumivu ya sehemu usawa wafigo la kushoto kuja chini ya mbavu yatakuwepo mda wote