zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Unajua maisha kila mtu ana ndoto za udogoni/ujanani.
Kwa mfano mimi nilipokuwa mdogo nilitaka kuwa mwanajeshi baada ya kuangalia movie ya Rambo[emoji1787][emoji1787]
Kwa mfano mimi nilipokuwa mdogo nilitaka kuwa mwanajeshi baada ya kuangalia movie ya Rambo[emoji1787][emoji1787]