Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Huwaga naona mwaname yupo Kwenye taasisi kubwa ukute kama Hospital hivi anavaa Kikukuu nashindwa kuelewaa ni Jambo ambalo hadi leo naona ni Umalaya japo utata huja unakua Wamasai wanavaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alafu hadi wanaumeee
Tofautisha culture na umalaya tafadhali
 
Ni kweli kabisa, yaani wanaume wanajadili mambo ya ajabu kabisa. Mimi nina bleach kabisa kuchwa kizima na siogopi eti watu wananichukuliaje. As long as mwajiri wangu na mpenzi wangu anaona sawa wala sijali. Kazini kwetu hata uvae vikuku 10 no one cares wanachotaka ni delivarables
Aiseee
 
Mimi sio mwalimu, huko shuleni mlipelekwa kusomea ujinga?
We Jamaa bongolala kweli umesoma vizuri title ya mada yako, huo ujinga ulioandika kwenye title kuhusu vikuku na vipini umejifunza wapi kwenye vijiwe vya kahawa?, si ni wewe uliesema Malaya na kahaba wanatofautiana hio inaonekana unawafahamu ndipo nikakwambia basi kamusi ya koswahili sanifu itusaidie maana kila kitu kimeandika kwenye kitabu
 
Mimi nina jirani yangu tena hatumii hivyo vitu ila ni mgawaji wa papichu mzuri,Mwanamke malaya utamtambu kwa mienendo yake wengi wanapenda excuse pale wanapokuwa na majambo yao.japo ulizo taja hapo zinawezakuwa ni indicator tu ila sio ndo conclusion kwasababu kuna watu wanavaa alaf wapo cool.
 
Malaya ni mgawa ngono.

Kahaba ni muuza ngono.

Nirahisi kahaba kubadilika ila siyo Malaya.
Kwa mujibu wa tafsiri yako binafsi

Basi mujibu wa tafsiri yangu Mimi:

Prostitute in Swahili means kahaba/malaya na ukienda kwenye definition Jibu linakuja ni wauza uchi (sex workers)

Kahaba/malaya ni yule anaeuza uchi ili apate pesa
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikuku i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Umekuwa mtoa hukumu bure kwa watu
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikuku i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Umekurupuka hukufanya utafiti wa kina kwani kwa upande wa utamaduni wa mswahili utakutana na vitu hivyo tena vinatumika tokea zama za zamani
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikuku i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Shanga si umalaya we kengeuke

Mimi mke wangu imebidi nimnunulie shanga niweze kumfaidi ipasavyo
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikuku i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Watu wa bara ni washamba Sana 🗑️
 
Tofautisha culture na umalaya tafadhali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu bhana...!! Umekuwa mkali sanaa slow down utaelewa watu wanasema nini.. Unachukulia mambo too general sasa kwa uhakika siku muone mwanamke kavaa hicho alafu anaonekana ana maisha achana na hawaa waliofubaaaa alafu fanya kwenda nae kwa swaga kama unamtongoza malata uonee
 
Back
Top Bottom