Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Nimeona hii kitu CNN yaani wametumia miezi 6 kusafiri maili karibia milioni 300.
Haya mambo ya Sayari yapo kweli au usanii tu wa NASA?

Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba Taifa la Urusi ndio lilikuwa la kwanza kutuma chombo kwenye sayari ya MARS mwaka 1976 kikafanikiwa kutua na kutuma picha za rangi Duniani, hilo NASA hawalisemi kabisa - hawasemi chochote kuhusu mananikio ya chombo cha Urusi aina ya VENERA.

Miaka 45 baadae ndio wanajifanya ni mapioneer! Kweli Duniani kuna mambo.
 
Bado nauliza, camera iliyopiga picha ya hiko vhombo wakati kinatua nayo ilirushwa kabla ya chombo au sambamba na chombo. Tuzingatie angleIyake.
Swali la msingi mkuu, naona watakuwa wanarudia usanii wao wa ku-animate project nzima - yanarudia yale yale ya kutua mwezini!! Hollywood GURUS bado wapo sana.
 
Cha muhimu waifanye dunia iwe na amani na upendo ndio italeta maana na chanjo ya ukimwi watoe
Your browser is not able to display this video.
 
huko wamepeleka vyombo vingapi vya utafiti? Maana kwenye hizo picha naona ni vyombo viwili tofauti.
 
Sas wewe hata nauli ya kufika 2 nasa huna unatak sisi tukusaidiaje? Wenzio wanaend wanashuhudia chombo inaondoka CNN wanarusha live we sijui unakuwaga wapi hapo. Hufanyi effort yyte ya tafiti.
 
Wamarekani uwaga ni waongo,, uwaga ni Photoshop.
Sawa wenzio wameleta ushahidi wa picha. Leta uthibitisho kuwa ile ni photoshop mbona simple 2. Kama hujui huko mbele kudetect pich iliyotengenezwa rahisi tu watu wangesema. Makao makuu ya NASA watu wanatembelea. We huko hapo bongo umepoa 2 unataka nasa wakusaidiaje?
 
Duu mwezi uliopo juu tu hapo ukaribie mbinguni? Na jua je? Sas wenzio waliogundua nuclear bombs hospitals wakatufundisha jinsi ya kuishi wakatoka kwao wakafanikiwa kufika kwetu wakafanikisha nasisi tuweze kwenda kwao wanasema wameenda mars. Je tukuamini wewe kwa lipi ulilofanya hapo. Mbona hata hesabu za kurusha ndege ni za makadirio lakini ndege imeruka kweli. Meli je density ya maji sio makadirio? Matumizi ya umeme sio makadirio mpaka kukawa na power factor? Ko we makadirio ya mars 2 ndo yanakutoa roho!?
 
Ile ni ozone layer wewe huna uwezo wa kuona umbali mrefu kiasi hicho. Ile ozone layer ni reflection 2 ya mwanga there is nothing. Ungekuwa umewahi tumia telescope nadhani ungeshuhudia.
 
Kwa mtu anayefkiria kwa akiri wala sio nyiiiingi kawaida tu, sio wale mashabiki hata wasioelewa wanacho kishabikia, ataona hizi ni polojo muve kbs! Et na picha kabisa zinaonyesha chombo kiki take place ardh ya mars, kweli kilahis hivi!! kwanza hivi nani aliepiga picha? nazipigwe kwa umbali kidogo,ajabu! kuna mengi yakuhoji ntajichosha tu nadhalia za kijinga kbs!
 
Wewe ndo unajibana.
Katika hizo sayari Tisa na dunia ikiwemo.ni moja Tu inayosapoti maisha.
Na hata ukiangalia mizunguko ya hizo sayari kulizunguka JUA.ni wazi dunia ndo ina afaa kuishi
Aliekufahamisha kwamba kuna sayari nyingine japo hazisupport maisha si ndo yupo kutafuta lead ya kupata maisha huko sas unampinga nn? 2litarajia utakuwa unaitafuta hata anga sahv kwenda kuthibitisha.
 
Kuna vitu mi nashindwa kuviamini hasa inapotokea nguvu kubwa yakutaka niamini... sasa hiyo picha kaipiga nani aliyekua katangulia huko chombo kinapotua?
Duu aisee? Yani mpaka leo unaamini picha mpaka akushikie mtu nd ipigwe? Ina maan huna idea yyte kuhusu sensors zinavyofanya kaz
 
Duu aisee? Yani mpaka leo unaamini picha mpaka akushikie mtu nd ipigwe? Ina maan huna idea yyte kuhusu sensors zinavyofanya kaz
sawa mtaalam, kwamaana hiyo hizo sensors ndio zimepiga hiyo picha, how? Tunaoeana elimu tuu. Enhe sensors hiyo ikitangulia au ilikua na chombo au haipo hata eneo la tukio? Msaada tafadhari ewe mtaalamu wa masuala ya upigwaji wa picha.
 
Nilikua nuaulisa Mbinguni ni Sayari ipi au ni mpaka uvuke sayari zote.
 
Kumbe ndo kilichokuponza wewe unashinda na watu hawajui mambo. Sasa kuna mtu anaejua field ya sayansi vizuri hajui einstein alichokifanya kweli? We umefanya nn ambacho hata kimetatua changamoto za bongo?
 
Usichanganye mafile braza. Mbingu na dunia wapi na wapi? Ko unatak kunambia jua ambalo liko umbali mkubwa zaid kuliko mwezi Mungu na malaika wanaliota?
 
Yani wewe ungezaliwa kipindi kile cha malaika waliozaa na binadamu huenda ungewaabudu wale. We unataka binadamu wenzio wajifanye Miungu kila ki2 wajue kinachofuata nd shida hyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…