Kutokuelewa kwako kwanini pluto haijawa counted as planet ndio sababu solar system ni uwongo?Kwanini Pluto ilikuwa katika Sayari na sasa haipo ?
Uongo hakuna Solar System. Sababu jua linatembea, na kinachomoza Mashariki na linazama Magharibi.
Sayansi ya anga ni bahati nasibu.
Mimi njia nazifahamu na nimekuuliza wewe kama taarifa hiyo unayo. Isije ikawa ubanitumia mimi kama chambo kujifunza mambo ambayo darasani hukujifunzaHili unalo niuliza mimi nilikuuliza kitambo sana, kwamba uniambie ni njia gani ya Kisayansi au jaribio gani la kisayansi likifanyika kuthibitisha uwepo wa Solar System, lakini ona ulivyo muoga, umezunguka wee lakini umerudi pale nilipo simama mimi, sasa jihi swali.
Pia, siku nyingine tutakuja kuongelea tamko "Discover". Hapo ndipo utakapo jua ya kuwa Sayansi haipo kwa ajili ya kuvumbua wala kumpa mtu ukweli.
Kama marekani ana mabomu kwanini hailipui malawi?Sasa mimi ambae nimeishia Madrasa nawakosoa mpaka wakubwa zako na maswali yangu hamuyajibu, nani bora ?
Sisi mbona tunawafundisha elimu ambazo hata wazazi wenu wasingeweza kuwalipia ada yake ila tunawapa bure tu.
Poa.Ungekuwa mzee mwenye akili na busara zake usingeuliza hayo maswali.
Mjukuu akikuuliza mama yake alijuaje jina lake unamjibu aliambiwa na kunguru, halafu unamuuliza unamfahamu kunguru? Ndicho nilichokifanya kwako.
Safi sana, naona umehitimisha ya kuwa huwezi kujibu maswali yangu.Mimi njia nazifahamu na nimekuuliza wewe kama taarifa hiyo unayo. Isije ikawa ubanitumia mimi kama chambo kujifunza mambo ambayo darasani hukujifunza
Nakuuliza ili nijue kama unajua ili niweze kupima hiyo evidence yako ya kubatilisha tafiti hiyo
Kubatilisha bila evidence katika jambo lenye evidence ni wastage of time
Onyesha uwiano wa maswali yangu na ulichokiandika.Kama marekani ana mabomu kwanini hailipui malawi?
That how your question sounds
Hujaelewq hoja, nakuonyesha kuyumba kwa Sayansi na wanasayansi.Kutokuelewa kwako kwanini pluto haijawa counted as planet ndio sababu solar system ni uwongo?
Kama ni hiyo haijajibu swalilangu hata moja. Maswali yangu yako wazi sana.468 uliiquote nusu kaipitie tena kuna mengi nineyajibu mle ambayo umeyarudia tena kuyauliza
Kama ni nadharia inayosema jua lipo katikati ya sayari na zinalizunguka jua hapo uwongo uko wapi?
Unaelewa ilitumika mechanism gani ku discover hiyo solar system? Nawe saizi unetumia scientific method gani kubaini uwongo?
Ni uwongo hakuna sayari zingine?
Jibu la swali lako lipo kwenye post ambayo umei quote nusu.
Usikasirike lakini mkuu. Mambo ya mitandaoni haya.Poa.
rejea kwenye post yangu niliyokuwekea mfano wa hoja ambazo zinatakiwa kujibiwa angalia qualification zake kisha linganisha na huo utumbo wako kisha utagundua sababuSasa kwanini umeshindwa kutumia njia hizo kukosoa hoja zangu na kutumia njia hizo hizo kuonyesha ukweli wa Solar System...?
form one uli skip masomo ya science?Nacheka,usichokijuaxni kuwa tatizo kubwa sana linalo ikumba Sayansi leo hii na litawasumbua sana tatizo hili, ni namna yao ya kufikia hitimisho juu ya jambo fulani, ndiyo maana leo wanasema hivi kesho wanasema vile ? Sasa mtu kama wewe mchanga juu ya mambo ya Sayansi hujaliona hili.
Hakuna vigezo ulivyoweka.rejea kwenye post yangu niliyokuwekea mfano wa hoja ambazo zinatakiwa kujibiwa angalia qualification zake kisha linganisha na huo utumbo wako kisha utagundua sababu
Kazi yangu nimemaliza.form one uli skip masomo ya science?
nenda mtaani kamuulize dogo yeyote ambaye yuko form one what is scientific method atakujibu
Huyo mwandishi wa kitabu hajaonesha vivid proof ya madai kaishia kuweka claims bila testable evidence.Labda nikusaidie kwa mtindo huu, labda utaelewa kisha uniambie utafiti ulio fanyika na unipe majibu.
Nanukuu :
Lincoln Barnett (1909-1979CE) wrote in his book: “The Universe and Dr.
Einstein” (with a forward by Einstein himself), “... for we cannot feel our
motion through space; nor has any physical experiment ever proved that the
earth actually is in motion.”
Stephen Hawking wrote: “Although it is not
uncommon for people to say that Copernicus proved Ptolemy wrong, that is
not true... one can use either picture as a model of the universe, for our
observations of the heavens can be explained by assuming either the earth
or the sun to be at rest.”
Tuanzie hapo, Solar System inasemaje kuhusu Dunia na jaribio gani ka kisayansi likifanyika kuthibitisha hilo ? Nataka nikuonyeshe hili ni jambo dogo na usilifanye kuwa ni mada. Malizana na Barnet na Stephen Hawking.
Usini quote nusu unapoteza maana ya swali langu.Hili unalo niuliza mimi nilikuuliza kitambo sana, kwamba uniambie ni njia gani ya Kisayansi au jaribio gani la kisayansi likifanyika kuthibitisha uwepo wa Solar System, lakini ona ulivyo muoga, umezunguka wee lakini umerudi pale nilipo simama mimi, sasa jihi swali.
Pia, siku nyingine tutakuja kuongelea tamko "Discover". Hapo ndipo utakapo jua ya kuwa Sayansi haipo kwa ajili ya kuvumbua wala kumpa mtu ukweli.
Kama hakuna vigezo nakuwekea tena hapaHakuna vigezo ulivyoweka.
Nacho subiri hapa ni kuona una jibu maswali yangu.
Kwani dubai ya leo yote iliumbwa na Mungu? Mungu unaemsema katuumba kwa mfano wake. Nn maan ya mfano wa ki2? Sifa kuu ya Mungu ni uumbaji. Je mfano hauwezi fanya jpo kidogo ya hayo. Mungu hajaumba ndege. Mungu hajaumba gari. Mungu hajaumba mbwa wa kisasa kuku wa kisasa miti ya kisasa soda internet. Ila kaamuumba mwanadamu kwa mfano wake aweze kuumba kwa nafasi yake. Nd wanchokifanya hao jmaa hapo wanafuata maagizo. Kuexplore sio dhambi maan hata akina mtume paulo walikuwa mamster wa kuexplore.Mtaenda wangapi kuishi huko mars?.
Na Kwa usafiri gani?.
Kumbuka mungu aliiumba dunia ikiwa na MATIRIO YOTE YA KUMSAIDIA BINADAMU.ndo maana leo. Unaiona dunia IPO hivi.
Haya huko mars mtaanza kipi ili iwe kama duniaView attachment 1712493View attachment 1712495View attachment 1712496
Sas wewe unaishangaa hiyo speed hujui taa unayotumia ndani ya umeme inatoa electrons zenye speed ya 3*10^8m/s nd ushangae hyo. Na hapo bado wenzio lengo lao ni kufika speed ya light.Yaani hii balaa chombo hiki kimekimbia muda wa miezi sita
...speed yake km 85 kwa sekunde moja kam sio uongo nini wazungu ni waongo sana wanataka kututoa kwenye reli kuhusu corona tu
Harmonize anatoka na kajala nd habari kuu bongo. Ko siwezi kukulamumu.Unaamini hizo Propaganda? Je, hiyo NASA kama imepelekwa nchi za jangwani na ukaaminishwa hapo ni sayari ya Mars, nawe utaamini!!!!