Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Nafasi ya kuishi mars ni 1%.
Sikubishii kwahilo its true kuifanya mars watu waishi ni jambo gumu sana.

But ninachotofautiana nawewe ni kwamba naamini naona there is a chance so anything is possible u might be right or wrong.

Maana nikiona investment zinazofanywa kwenda mars zinaleta optimism kwamba may be it might be possible. Just mwaka huu tayari qa marekani wame land huko ( sio Mara ya kwanza though)

But this time wachina nao wameweka satellite zao tayari kwenye orbit ya mars zinazunguka huko (tianwen 1)
Waarabu nao wametuma satellite yao kwenye orbit ya mars ( UAE) inaitwa (Hope) ambayo inaenda tumika kuchunguza hali ya hewa ya mars

So hizo project zote I think kuna hope for humanity!!.
 
Mastcam-Z is a dual-camera system equipped with a zoom function, allowing the cameras to zoom in, focus, and take high-definition video, as well as panoramic color and 3D images of the Martian surface. With this capability, the robotic astrobiologist can provide a detailed examination of both close and distant objects.

The cameras will help scientists assess the geologic history and atmospheric conditions of Jezero Crater and will assist in identifying rocks and sediment worthy of a closer look by the rover’s other instruments. The cameras also will help the mission team determine which rocks the rover should sample and collect for eventual return to Earth in the future.
 
Nafasi ya kuishi mars ni 1%.
miaka 2000 iliyopita kuna mwanadamu alijua kunaweza kuwa na usafiri wa Anga? alijua kunaweza kuwa na kitu kinaitwa camera? au Satellite ambayo inasafisha picha duniani kote in real time?

Usicheze na Technoligia ndugu yangu... Sema wanaweza kuchelewa lakini usiseme NEVER...maana 1% ni kama kitu hakiwezekani.
 
Ebu soma
miaka 2000 iliyopita kuna mwanadamu alijua kunaweza kuwa na usafiri wa Anga? alijua kunaweza kuwa na kitu kinaitwa camera? au Satellite ambayo inasafisha picha duniani kote in real time?

Usicheze na Technoligia ndugu yangu... Sema wanaweza kuchelewa lakini usiseme NEVER...maana 1% ni kama kitu hakiwezekani.
Screenshot_20210302-144621.jpg
 
Mission za Kwenye sayari ya Mars zimekuwa nyingi , lakini je ? Wanatuma vyombo kwenye Mars kwa sababu Mars inaweza kuwa na maisha au ni kwa sababu tu Mars ndio Sayari pekee inayofikika?

--- Tafiti zao wenyewe zinaonyeza Mars ina Atmosphere ndogo sana, takriban futi moja hivi ya Atmosphere.

--Hali ya hewa(Jotoridi na upepo) ya Mars sio ya kuSupport life.

--- Pressure katika Mars ni ndogo mno haisupport life.

--- Mionzi hatari katika Mars ndio nyumbani kwani hakuna Tabaka kama la Ozone la kuzuia mionzi.

Hawa NASA wanapambana kwenda huko sio kwasababu wameona potential ya Life, ni kwa vile tu Mars ndio Sayari ambayo Angalau inafikika kuliko sayari zingine, huko kwingine wanakusikia tu kwenye Telescopes.
Katika solar system ndo sayari at least INA u afadhali yani inakaribia dunia

Mercury haina haja hata kuongelea, Venus ni balaa tupu warusi walipeleka kifaa I think 1982 kuna joto LA ajabu sana about 350 ° Celsius plus atmospheric pressure 90 times ya dunia maana huko wingu LA ajabu yani kuna mawingu ya sulphur . Vifaa vya kwanza vya warusi vilifinyangwa kama kopo uliminye ule mgandamizo ni hatari hata kifaa chao kilichofika kilikaa mda mfupi tu kikayeyuka pia. Kifupi Venus ni hell

So the last near candidate ni mars ambaye angalau hatishi sana. Tutegemee a lot of mars project and moon projects.
 
Ebu soma
Sikubishii kwahilo its true kuifanya mars watu waishi ni jambo gumu sana.

But ninachotofautiana nawewe ni kwamba naamini naona there is a chance so anything is possible u might be right or wrong.

Maana nikiona investment zinazofanywa kwenda mars zinaleta optimism kwamba may be it might be possible. Just mwaka huu tayari qa marekani wame land huko ( sio Mara ya kwanza though)

But this time wachina nao wameweka satellite zao tayari kwenye orbit ya mars zinazunguka huko (tianwen 1)
Waarabu nao wametuma satellite yao kwenye orbit ya mars ( UAE) inaitwa (Hope) ambayo inaenda tumika kuchunguza hali ya hewa ya mars

So hizo project zote I think kuna hope for humanity!!.
Screenshot_20210302-144621.jpg
 
Kiukweli Mkuu hushashindikana hapa jf sijui kama kuna MTU anaweza argue nawewe akiamini ataku convince anything

Wewe unajua kila kitu, haukubali kushindwa , unakuaa umeshajiandaa kubisha kwahio majadiliani yanakuwa ya bure, pia tayari una belief yako kwamba ulichokisoma au kufundishwa ndonukwelii.

Najua utabisha hapa ila ndo ukweli.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu, huyo maamuma kisha aminishwa katika Hadithi na Quran kua kwenda mwezini itachukua miaka zaidi ya milioni mia tano kwa mwanadamu, yeye haamini kiti chochote kinachopingana na Hadithi na Quran, so usitegemee mtu kama huyu kua na mawazo mbadala na akili ya kuhoji.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu, huyo maamuma kisha aminishwa katika Hadithi na Quran kua kwenda mwezini itachukua miaka zaidi ya milioni mia tano kwa mwanadamu, yeye haamini kiti chochote kinachopingana na Hadithi na Quran, so usitegemee mtu kama huyu kua na mawazo mbadala na akili ya kuhoji.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mi sitaki kuamini kitabu chake ndokinamfanya hivi may be tafsiri ya akisomacho Na tabia zake za asili.

Mbona tumesoma Na Muslims wengi wapo very smart Na waelewa sana tu.
 
Mkuu hio ni average temp lakini ujue kwenye equator ya mars temp inakuwa around 35 degree Celsius kwa mchana ambayo ni normal sana sema balaa usiku wake

All in all temp can can be altered by terraformation

Au wakazi wakwanza waishi kwenye biodomes.
Sasa shida yote ya nini kuishi kwenye hizo biodomes?
 
Sasa shida yote ya nini kuishi kwenye hizo biodomes?
Hao ni pioneers lakini with time watajenga viwanda vya kuproduce green house gases ambazo zitachochea temp increase Na mambo mengine but all this ni speculation tu tusubiri tuone maana gharama zake sio mchezo wanaweza kuona hizo project sio economically viable wakaacha kuzifund
 
Sasa shida yote ya nini kuishi kwenye hizo biodomes?
Mkuu, Nature ya binadamu ni kuendelea na utafiti kila uchao - tangu enzi ya zana na mawe hadi sasa hivi Nuclear age bado watu wanapambana tu hasa Wazungu na Wa-Asia. Sisi Africa nasi tunapambana kubadilisha Bar lakini wote tuko kwenye mapambano ya maendeleo.

Huko Mars kuna mchangiaji mmoja anasema Tempereature yake ni balaa hakuna kiumbe cha kuishi, ni kweli lakini yawezekana ni future kukawa na nuclear technology ambayo inaweza kuweka conducive atmosphere ya binadamu kuishi - hata kama si kizazi hiki basi labda kijacho.

Techonogia si kitu cha mchezo - achana nacho kabisa.
 
Sawaa.vipi kuhusu muda huko mars.
Namaanisha,sekunde,dakika,SAA,
Siku,wiki,mwezi na mwaka n.k
Huko mars vitakuwa kama huku duniani au watabadilisha?
Hao ni pioneers lakini with time watajenga viwanda vya kuproduce green house gases ambazo zitachochea temp increase Na mambo mengine but all this ni speculation tu tusubiri tuone maana gharama zake sio mchezo wanaweza kuona hizo project sio economically viable wakaacha kuzifund
 
Sawa.Ila tungeimaliza kwanza dunia.
Mkuu, Nature ya binadamu ni kuendelea na utafiti kila uchao - tangu enzi ya zana na mawe hadi sasa hivi Nuclear age bado watu wanapambana tu hasa Wazungu na Wa-Asia. Sisi Africa nasi tunapambana kubadilisha Bar lakini wote tuko kwenye mapambano ya maendeleo.

Huko Mars kuna mchangiaji mmoja anasema Tempereature yake ni balaa hakuna kiumbe cha kuishi, ni kweli lakini yawezekana ni future kukawa na nuclear technology ambayo inaweza kuweka conducive atmosphere ya binadamu kuishi - hata kama si kizazi hiki basi labda kijacho.

Techonogia si kitu cha mchezo - achana nacho kabisa.
 
Sawa.Ila tungeimaliza kwanza dunia.
Hapana, tumegawana shughuli - kina mmoja na section yake - wengine wanatafuta namna ya kusafiri kutoka London hadi USA kwa dk 30 tu kwa kutumia Space craft.. tayari wako kwenye final touches nafikiri kabla hatujaondoka duniani tutashuhudia hiyo kitu.
 
Angalia huo umbali wa kutoka duniani mpaka Mars..
Kilometres 222 millions.
Hapana, tumegawana shughuli - kina mmoja na section yake - wengine wanatafuta namna ya kusafiri kutoka London hadi USA kwa dk 30 tu kwa kutumia Space craft.. tayari wako kwenye final touches nafikiri kabla hatujaondoka duniani tutashuhudia hiyo kitu.
Screenshot_20210302-153552.jpg
 
Angalia huo umbali wa kutoka duniani mpaka Mars..
Kilometres 222 millions.
View attachment 1715599
Tunarudi pale pale kwamba huenda technologia ikatengeneza kifaa kinakwenda 30m Km per hour...haya mambo yanawezekana kwenye zama hizi za nuclear usizibishie. Sisi waafrica weusi ndiyo bado tupo gizani. Hicho kifaa tu kilichokwenda Mars Project nzima imetumia 6 Trillion Tshs - yaani makusanyo yetu ya sasa ya miezi sita bila kula hata senti tano.
 
Sawaa.vipi kuhusu muda huko mars.
Namaanisha,sekunde,dakika,SAA,
Siku,wiki,mwezi na mwaka n.k
Huko mars vitakuwa kama huku duniani au watabadilisha?
Kama sisi tutakuwa the first intelligent creatures tutaamua sisi ku define time.

Kama tukiamua kusyncronize muda wa mars uwe sawa Na earth ( tuite labda human time).

Au mars iwe independent Na time system yake kwanza Siku ya mars haitofautiani sana Na ya dunia ni kama tofauti ya dk 40 hivi give or take hata seasons zipo NNE pia sema tu martian seasons ni ndefu zaidi kutokana Na kuwa Na revolution ndefu zaidi around jua
 
Sawa. Ngoja tuone
Tunarudi pale pale kwamba huenda technologia ikatengeneza kifaa kinakwenda 30m Km per hour...haya mambo yanawezekana kwenye zama hizi za nuclear usizibishie. Sisi waafrica weusi ndiyo bado tupo gizani. Hicho kifaa tu kilichokwenda Mars Project nzima imetumia 6 Trillion Tshs - yaani makusanyo yetu ya sasa ya miezi sita bila kula hata senti tano.
 
Back
Top Bottom