Huwa nawaona wajinga kwa sababu nyingi sana. Hizi ni miongoni mwazo.
1. Hamjui kuhoji na kutafuta ukweli juu ya habari mnazo zisikia, na hili wahusika wamefanikiwa sana, sababu wameona wengi wenu mnapenda kuona.
2. Hamjibu maswali ninayo wauliza zaisi ya ushabiki kwenye Sayansi.
3. Mnatakiwa kuvunja hoja na kuweka ukweli na si kinyume chake, kama mnavyofanya nyinyi. Mathalani nikikuuliza wewe unahakikisha vipi ukweli wa hizi habari ? Bila shaka kwenu nyinyi mnazipokea tu, hili ni tatizo lenu binafsi na ukameme wenu. Kuna mmoja niliwahi kumuuliza anadai ya kuwa Albart Einstein alikuwa na akili sana, nikamwambia nitajie mambo matano ambayo aliwahi kuyasema au kuyafanyia utafiti halafu yakawa kweli, kisha nikamwambia mimi binafsi Einstein hanifikii kwa akili, na hakuna atakaye weza kuthibitisha ys kuwa Einstein kanizi mimi akili.
4. Huwa mnatatizo au matatizo ya kulinganisha mambo hasa katika kutoa mifano. Mifabo yako yote ni mfu sababu unalinganisha uhalisia na na visivyo halisi, mangapi au vingapi hatujawahi kuvidiriki na tunaviamini ? Achilia mbali tu hapo Marekani. Mimi nina muamini Mtume na yote aliyokuja nayo lakini sijawahi kumuona, tunaamini uwepo wa kina Plato, Socrates, Anaksimenesi na wengine katika Wanafalsafa wa magharibi na wasio kuwa hao, lakini hatujawaona. Sasa mnapokosa hoja bora mnyamaze na mimi na nyinyi tunatofautiana pakubwa sana, mimi natafakari na kuhoji kwa usawa nyinyi ni mashabiki, na wakubwa zenu wanawapa kile mnachokitaka.
Mwisho kabisa nakuuliza swali dogo ambalo wenzako wamelikimbia, wewe umezihakiki vipi hizo habari za kwamba je ni kweli au umetosheka na kusikia au kuona tu ?