Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

ukiona unajadiliana na mtu anaye shangaa kuona assumptions kwenye scientific research sometimes unakuta unakosa hata stimu ya kujadiliana naye
Maana ya Assumptions ni kushindwa kufumbua fumbo na kuamua kuweka mbadala wa uongo ili hesabu zikae sawa.

Hakuna maana nyingine ya Assumptions zaidi ya hiyo. Ndiyo maana uhalisia hautaki Assumptions unatoa majibu yenye uhakika.

Ngoja nikuulize swali rahisi sana, ushawahi kujiuliza kwanini kuna Assumptions yaani kunafichwa nini na je kuja haja ya Assumptions kwenye majihu ya uhakika ?

Kijana usichokijua ni kuwa bado hujajua unajadiliana na mtu wa aina gani. Sisi hatubahatishi. Kuna siku nitakuja kuwashangaza ni tujadili suala la "Contigent factors" mtaona ya kuwa haya mambo yanaendeshwa na yapo katika nidhamj aliyoiweka Allah aliye juu.
 
Kauli yangu ya mwanzo.
Ni mwamba tuliikuta dunia ikiwa na MATIRIO YOTE yanayotusaidia kuishi tofauti na sayari nyingine.
Kwa Hali hyo ni ngumu kusema watakwenda kuishi mars.
Wangeikuta na MITI ,majani, oxygen.bahari na maji na mito ,maziwa, n.k wala nisingekuwa na Shaka View attachment 1713602
Unafahamu vipi kuwa walioikuta waliikuta ikiwa na material yote?
Inawezekana we are not even from here. Inasemekana mars was once like Earth miaka mingi nyuma then something happened ikawa hivyo ilivyo sasa.
Umeshajiuliza likitokea la kutokea duniani binadamu na viumbe hai wakatoweka then wana anga walio katika space station wakapata ufumbuzi wa kuendeleza maisha katika sayari tofauti vizazi vya hiyo sayari vitaelewa kuwa vilitoka wapi? Ujue tuna tafsiri nyingi sana za michoro kwenye mapango hatujui mababu wa mababu walimaanisha nn.
 
unao uthibitisho wa haya madai au umelopoka nikupuuze?
Uthibitisho Leon mwenyewe na nimekupa makala ya Paul E. Wylie akionyesha paradox ya Foucault Pendulum, lakini ukijipa muda na kutafakari utaona huo ukanjanja.

Lakini pia hata hao NASA hawakubaliani na Fuocault. Fatilia utaona.
flat earth society mko na tabu sana na conspiracy zenu, nipe ukanjanja wenye testable evidence unao disprove foucault pendolum. Hivi vi hoja unavyo okoteza kwenye sites za kiislamu kwa ajili ya ku battle na sayansi vitakuvueni nguo wewe pamoja na hao mashekh wako.
Naina ushachemka sana, ulitakiwa ukosoe hizi hoja na Wanazuoni wetu wanajua ya kuwa dunia haitembei zamani sana hata kabla ya kina Leon,hata kabla ya kina Corpenicus,hata kabla ya kina Michelson, soma Tafsiri ya Qur'aan ya Imaam Tabari. Sisi hatufanyi majaribio ndiyo tupate majibu, sisi tuna majibu tayari.

Ajabu hivi vihoja vyetu hamuwezi kuvikosoa mpaka mnakufa. Mimi naishi katika sayansi na ninaifanyia kazi ila ile ambayi ina uhalisia ika hizi za anga na mtu ameshiba zake ugali anaingia maabara anakuja kuwanywesha upupu una wawasha na mnashindwa kuhoji ujinga huu sisi huu hatuna. Sayansi imewaaminisha ya kuwa ni sahihi hasa nyinyi wabantu, yaani mnaihusudu bila kuhoji, na tukiwahoji mnashindwq kuteteq ujinga wenu..
I can argue with vivid evidence on this. Hizo info ume copy kwenye blogs/pages za kiislamu bisha nikuumbue?
Nacheka sana, umeishiwa hoja kwani wewe Pendulum umeoteshwa, au unaijua peke yako au wewe ndiyo Leon Foucault nini ? Sasa inakuwaje unaandika utoto baada ya kuishiwa na hoja ? Kila kitu unachokiandika kipo na kimeshahifadhiwa tunachofanya ni kurejea tu. Kwa ufupi kila ninachokiandika nina marejeo nacho sitoi kichwani mzee.

Sasa hakuna vivid evidence uliyo itoa tangu nimeanza kujadiliana na wewe, sasa nakupa hii nenda kaangalia mathematical formula ya motion katika Foucault Pendulum kisha zijadili zile paramaters katika ile formula uone kuna uhalisia wowote ?

Kijana nakukumbusha tu kusimamisha hoja na mimi unatakiwa uyajue mambo na usijidai unayajua mambo.
barnett kusema kwake haku disprove fact.

kwani wapi nimepinga kuhusu uwepo wa kitabu?

zinaangaliwa facts sio kitabu ambacho hata wewe kwa mihemko yako unaweza ukaandika
Sasa hili mbona rahisi sana kijana, Leon alikuja na Pendulum yake mwaka 1851 na Albert Michelson ali prove ya kuwa dunia haizunguki mwaka 1881 na 1887. Sasa usipate shida tetea hii Pendulum kama utaweza, ndiyo maana Foucault Pendulum limebaki kama jambo la kihisitoria na lipo makumbusho tu.
 
Sahihisha kwanza hii idadi na haya marejeo ni aya gani ? Yaani ukiandika jambo hakikisha una uhakika nalo, nataka ujihukumu mwenyewe. Kisha nakuja nikujibu.

Pili, mpaka unakufa hakuna anae weza kuikosoa Qur'aan, wala hakunacakiyewahi kuweza.
haina haja ya masahihisho, msingi wa hoja Ni kwamba ufanye mema dunian ili kesho pepon ukapewe wanawake kujistarehesha Ni upuuzi.
 
Uthibitisho Leon mwenyewe na nimekupa makala ya Paul E. Wylie akionyesha paradox ya Foucault Pendulum, lakini ukijipa muda na kutafakari utaona huo ukanjanja.

Lakini pia hata hao NASA hawakubaliani na Fuocault. Fatilia utaona.

Naina ushachemka sana, ulitakiwa ukosoe hizi hoja na Wanazuoni wetu wanajua ya kuwa dunia haitembei zamani sana hata kabla ya kina Leon,hata kabla ya kina Corpenicus,hata kabla ya kina Michelson, soma Tafsiri ya Qur'aan ya Imaam Tabari. Sisi hatufanyi majaribio ndiyo tupate majibu, sisi tuna majibu tayari.

Ajabu hivi vihoja vyetu hamuwezi kuvikosoa mpaka mnakufa. Mimi naishi katika sayansi na ninaifanyia kazi ila ile ambayi ina uhalisia ika hizi za anga na mtu ameshiba zake ugali anaingia maabara anakuja kuwanywesha upupu una wawasha na mnashindwa kuhoji ujinga huu sisi huu hatuna. Sayansi imewaaminisha ya kuwa ni sahihi hasa nyinyi wabantu, yaani mnaihusudu bila kuhoji, na tukiwahoji mnashindwq kuteteq ujinga wenu..

Nacheka sana, umeishiwa hoja kwani wewe Pendulum umeoteshwa, au unaijua peke yako au wewe ndiyo Leon Foucault nini ? Sasa inakuwaje unaandika utoto baada ya kuishiwa na hoja ? Kila kitu unachokiandika kipo na kimeshahifadhiwa tunachofanya ni kurejea tu. Kwa ufupi kila ninachokiandika nina marejeo nacho sitoi kichwani mzee.

Sasa hakuna vivid evidence uliyo itoa tangu nimeanza kujadiliana na wewe, sasa nakupa hii nenda kaangalia mathematical formula ya motion katika Foucault Pendulum kisha zijadili zile paramaters katika ile formula uone kuna uhalisia wowote ?

Kijana nakukumbusha tu kusimamisha hoja na mimi unatakiwa uyajue mambo na usijidai unayajua mambo.

Sasa hili mbona rahisi sana kijana, Leon alikuja na Pendulum yake mwaka 1851 na Albert Michelson ali prove ya kuwa dunia haizunguki mwaka 1881 na 1887. Sasa usipate shida tetea hii Pendulum kama utaweza, ndiyo maana Foucault Pendulum limebaki kama jambo la kihisitoria na lipo makumbusho tu.
Kama dunia haizunguki ni kwann tuna majira? Kipindi cha baridi, joto n.k? Inatokana na nn?
 
Mi naweza nikakuambia hizo ni hadithi za kufikirika tu zisizo na uthibotisho wowote wa kisayansi na ndio maana hakuna ushahidi wakisayansi unaoonesha kwamba nyoka aliongea na adam au eve
Nipe ushahidi wa kisayansi unao onyesha ya kuwa kuna kesho.

Kwahiyo kitu ambacho hakina ushahidi wa kisayansi hakipo au si cha kweli ?

Unataka kutuambia ya kuwa Sayansi ina majibu ya kila kitu ?
 
haina haja ya masahihisho, msingi wa hoja Ni kwamba ufanye mema dunian ili kesho pepon ukapewe wanawake kujistarehesha Ni upuuzi.
Thibitisha kama ni upuuzi na uniambie umejuaje huu ni upuuzi na kipimo chako ni kipi na marejeo yako ni yapi ? Ukijibu maswaki haya naacha kutumia hii ID.
 
Kama dunia haizunguki ni kwann tuna majira? Kipindi cha baridi, joto n.k? Inatokana na nn?
Allah aliye juu anasema :

164. Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, na maji anayo yateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo Ishara kwa watu wanao zingatia. (al Baqarah : 164)

Kwa ufupi hayo yote hayathibitishi ya kuwa Dunia inazunguka, bali hayo yanatokana kwa makadirio aliyo yaweka Allah katika uumbaji wake.
 
Thibitisha kama ni upuuzi na uniambie umejuaje huu ni upuuzi na kipimo chako ni kipi na marejeo yako ni yapi ? Ukijibu maswaki haya naacha kutumia hii ID.
Jambo lolote linamjumuisha mwanamke kama chombo cha starehe kwa mwanaume Ni upuuzi. Huko peponi kutakuwa na watoto na wanawake wachaMungu pia. Wao watapewa nini kama malipo ya wema wao duniani!? Maana nyie mashehe mmeshajichagulia kupewa wanawake kadhaa wa kuwastarehesha.
 
Allah aliye juu anasema :

164. Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, na maji anayo yateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo Ishara kwa watu wanao zingatia. (al Baqarah : 164)

Kwa ufupi hayo yote hayathibitishi ya kuwa Dunia inazunguka, bali hayo yanatokana kwa makadirio aliyo yaweka Allah katika uumbaji wake.
Sawa boss.
 
Jambo lolote linamjumuisha mwanamke kama chombo cha starehe kwa mwanaume Ni upuuzi. Huko peponi kutakuwa na watoto na wanawake wachaMungu pia. Wao watapewa nini kama malipo ya wema wao duniani!? Maana nyie mashehe mmeshajichagulia kupewa wanawake kadhaa wa kuwastarehesha.
Onyesha wapi amefanywa kama chombo cha starehe, na hii maana ya upuuzi naipata wapi ?

Niliposema huwezi kujibi swali hili nilimaanisha.
 
Hiki sasa nalirudia itakuwa mara ya nne sasa, nikikwambia hivi hututumii kosa kukosoa kosa. Bali tunatumia uhalisia kukosoa makosa na usahihi. Mtume hakuwa Mwanasayansi ila Qur'aan imesema na kuonyesha yakuwa dunia haizunguki na jua kinatembea, lei hii Wanasayansi wamekiri hilo, sasa unatakiwa ujiulize lipi la kufata na kipi la uhakika.
huwezi kuikosoa sayansi inayotumia research na vipimo katika tafiti zake kwa kutumia kitabu cha imani ambacho kimejengwa kwa msingi wa UJINGA.

Nipe emperical evidence ambazo ni valid and interpretable in accordance with with scientific method kwenye hiyo kuran, nipe stage zote walizotumia kutafiti hilo mpaka wakafikia hitimisho.

Sasa njia za Sayansi zinashida katika kufikia hitimisho
shida zipi?

kabla ya kujua shida kwanza umejitafakari uelewa wako kuhusu sayansi unaona unatosha?

kwasababu inaweza ikawa unaona zinashida kwasababu huielewi sayansi. Mfano huko juu umeonesha wazi hujui hata procedures za kufanya scientific research mpaka nikaamua niku recommend ukajifunze kwa mtoto wa form one
na ndio maana leo wanasema hivi kesho wanasema vile ila Qur'aan na Hadithi ziko vile vile, hii ni kwa sababu zimetoka kwa muumbaji mwenye kujua kila kitu.
hata hadithi za alfu ulela, spiderman sories, nk zipo constant lakini doesn't change the fact kuwa ni hadithi za kufikirika.

unategemea kuran ipate challenge kutoka kwa waumini ambao tangu utotoni wamefundishwa kuwa kui challenge kuran ni dhambi?

ni muumini gani ambaye anaweza akapita mbele ya msikiti kwenye nyomi ya watu akasema muhammad alipotosha habari ya kupasua mwezi na akaachwa salama?

ni muumini gani wa kiislamu anaweza kumkosoa muhammad kwamba buraq was mythical creatures (fictional) and the event of flying was not real?

kama nafasi hiyo ya kuhoji mambo hayo haipo kwanini ushangazwe na habari za kuran kubakia vile vile?
ha habari y

Kwahiyo sihitaji kutumia njia dhaifu kuukosoa udhaifu, bali natumia elimu sahihi na kuhoji kubatilisha Sayansi.
huo udhaifu uliuona kwa kutumia research gani?

unahakika gani kama uliitumia vizuri kanuni kama inavyotakiwa?

ulitumia vipimo gani ku detect huo udhaifu?



Sasa hili sitarajii tena kama utauliza au kurudia tena, nakukumbusha unatakiwa kujibu maswali nikiyo kuuliza.
garbage
 
labda unashundwa kuelewa kuwa BILA OXYGEN HAKUNA MAISHA.
nashindwa kukuelewa wewe ni MTU WA Aina gani usiyejua umuhimu wa oxygen.
Kinachotofautisha dunia na sayari nyingine ni OXYGEN
View attachment 1712413
Wanasayansi wamedhibitisha Luna hewa ya oxygen huko Mars inayofanya mwili usizeeke haraka ..ujiulizi kwa nini wakina Adam waliishi miaka 900? Oxygen walovuta ilikuwa tafauti na yetu ya sasa..[emoji852][emoji852]
 
Sasa ndiyo muache kutuhubiria habari ambazo hamna elimu nazo na msizoweza kuzijengea hoja.

Nyinyi huwa nawaita "Mashabiki wa Sayansi".Bila shaka unazijua tabia za mashabiki.
Wewe mafundisho ya dini yamekuharibu ..

Quote maswali yako yote uliyouliza nitakupa majibu.

Fanya saivi sasa.
 
Ngoja tuone
Wanasayansi wamedhibitisha Luna hewa ya oxygen huko Mars inayofanya mwili usizeeke haraka ..ujiulizi kwa nini wakina Adam waliishi miaka 900? Oxygen walovuta ilikuwa tafauti na yetu ya sasa..[emoji852][emoji852]
 
Back
Top Bottom