Chonde Chonde kwa aliye karibu na uongozi wa Simba Sports Club au msemaji wao Manara aifikishe kwao taarifa hii muhimu sana

haya bana sisi mashabiki wa simba hatusemi kitu
Kabisaaaa Mtani halafu manara alisema mufanye hivi eti 😷😷😷 Hahahaaaa.

Pia nimeona uzi mmoja kuna mtu eti amebashiri kwamba mnashinda nne nikasema. Lol
 
Kabisaaaa Mtani halafu manara alisema mufanye hivi eti 😷😷😷 Hahahaaaa.

Pia nimeona uzi mmoja kuna mtu eti amebashiri kwamba mnashinda nne nikasema. Lol
siunajua aliyetoa huo ubashiri ni mganga, pengine atakuwa ameona mbali
 
siunajua aliyetoa huo ubashiri ni mganga, pengine atakuwa ameona mbali
Waganga wenyewe hawa wa Kidigital Mtani. 😂

Hawakawii kukwambia ukienda uende na vocha ya yeye kujiunga bando. 🤣🤣🤣
 
Waganga wenyewe hawa wa Kidigital Mtani. 😂

Hawakawii kukwambia ukienda uende na vocha ya yeye kujiunga bando. 🤣🤣🤣
hivi bado unaamini kuwa yanga watachukua ubingwa VPL msimu huu?
 
Uwiiii!! Mzigo ule Mtani.

Watakaomuongezea muda basi lazima itakuwa kuna faida wanapata lwa uwepo wake Yanga ila nje ya hapo hafai hata kidogo kucheza Timu ya Wananchi.
ni mchezaji mzuri sana, kuna siku nilimshuhudia akiwa mazoezini alitupia magoli 17 peke yake
 
ni mchezaji mzuri sana, kuna siku nilimshuhudia akiwa mazoezini alitupia magoli 17 peke yake
Hata Mkwasa aliwahi sema hivyo kwamba mazoezini yupo njema ila akija Uwanjani sasa ndio anakuwa kichekesho.

Magoli ya mazoezini hatuyataki sie tunataka afunge Uwanjani na sio kuanguka anguka tu na kupoozesha mpira.
 
Hata Mkwasa aliwahi sema hivyo kwamba mazoezini yupo njema ila akija Uwanjani sasa ndio anakuwa kichekesho.

Magoli ya mazoezini hatuyataki sie tunataka afunge Uwanjani na sio kuanguka anguka tu na kupoozesha mpira.
teh teh! ila usajili wenu mlioufanya kwa hii misimu miwili ulikuwa ni wa bahati nasibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…