Chonde Chonde kwa aliye karibu na uongozi wa Simba Sports Club au msemaji wao Manara aifikishe kwao taarifa hii muhimu sana

Chonde Chonde kwa aliye karibu na uongozi wa Simba Sports Club au msemaji wao Manara aifikishe kwao taarifa hii muhimu sana

Mark my words YANGA ITAPIGWA NNE moja au SEFULI

Jr[emoji769]

Goli zilizopo ni Mbili ( 2 ) tu Mdau na kila Goli litafungwa katika Kipindi chake ( namaanisha kile cha Kwanza na cha Pili ) labda Upepo tu ugeuke kwani hata Wao ( Wapinzani wa Simba SC ) nao wanahangaika Kupunguza idadi lakini katika Kuziondoa hizo Goli Mbili imeshindikana na ndizo watakazofungwa.
 
Hakuna kitu kama hicho bana. Huyu jamaa hatutakii mema. Hicho kikosi alichoshauri kipangwe dhidi ya Azam si ndio kilitolewa jasho na Stand United? Anataka tufungwe na Azam ili wachezaji wapoteze kujiamini hapo tarehe nane

Kwa taarifa yake Lunyasi wanaingiza kosi la kwanza la mauji hapo kesho kwa sababu tunazitaka point tatu kutoka kwa Azam, na siku ya Yanga tunatimba tena na kosi letu kamili kujichukulia point tatu zetu

Kwa taarifa yako tayari huu Uzi wangu umefika kwa Uongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Kwake Msemaji wa Simba SC Haji Manara na nashukuru Mawazo yangu ( Ushauri wangu huu ) wameupokea kwa Mikono miwili na tayari TAHADHARI inaenda Kuchukuliwa na huenda nilichokipendekeza hapa ndipo Kikatendeka Kesho dhidi ya Azam FC na ile Mechi nyepesi ya tarehe 8 March 2020 ( Jumapili ijayo ) ambapo Simba SC itashinda Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 )
 
Subiri wawaumize, si watapewa kadi nyekundu mkuu, halafu wanabaki pungufu, tunaondoka na point 3...halafu kitu ambacho hujui, Azam inahitaji Yanga spoteze pointi zaidi hata ya simba make yanga akipata point 3 kwa simba, Azam ndo asahau namba 2 kabisaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Azam akiwa namba 2 atanufaika na nini?
 
Goli zilizopo ni Mbili ( 2 ) tu Mdau na kila Goli litafungwa katika Kipindi chake ( namaanisha kile cha Kwanza na cha Pili ) labda Upepo tu ugeuke kwani hata Wao ( Wapinzani wa Simba SC ) nao wanahangaika Kupunguza idadi lakini katika Kuziondoa hizo Goli Mbili imeshindikana na ndizo watakazofungwa.
Duuh!
 
Sio hujuma hizo tuu, nasikia hata kadi za marefa zinaweza kuhusika ili wachezaji flani waikose ile mechi ya tarehe 8 ambayo jamaa wa Jangwani inawapeleka puta hata hawataki tarehe ifike mapema! Hivyo nawasihi wachezaji wa Simba katika mchezo wa kesho kucheza kwa tahadhari kubwa! Pia naiomba TFF iitishe kikao cha kamati ya saa 72 kabla ya mchezo wa Jupili ili kama kuna wachezaji watakuwa wamepewa za njano/nyekundu kimizengwe zifutwe!
Mbona mnalialia Sana?!? Nyie si tunasikia mnavyo vikosi viwili au vitatu? Hofu ya Nini Sasa?! Mna hofu na Yanga?! Yanga apate wapi fedha za hujuma wakati nyie ndio matajiri?! Yanga Ana ubavu gani kufanya hujuma?! Teh tehtehteh tarehe 8 siyo mbali anzeni kusherehekea ushindi kuanzia Sasa...teheteheh kwa hakika tarehe 8 itakuwa ni ya kihistoria ....subirini...sherekeheni kuanzia Sasa...
 
hongereni kwa ushindi bana

Kuifunga Timu dhaifu ya Mbao FC ambayo kwa jinsi ilivyokuwa mbovu Jana Goli Mbili kuna Haja ya Wewe Kuwapongeza hivi? Kwa Simba SC ilivyo sasa na kwa jinsi Mbao FC ilivyokuwa Mbovu jana nina Uhakika ingeibuka na Goli kati ya 8 au hata 11. Hao unaowapongeza kwa Ushindi bado wana tatizo Kubwa la Ushambuliaji na hata Beki zao za Kati na ile ya Kulia ina matatizo na huenda kwa Mapungufu hayo basi Jumapili wakakutana na Dhahama Kubwa kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi ambayo ina Wachezaji ambao wanaweza Kuamua Mchezo muda na wakati wowote ule.
 
Kwa taarifa yako Simba wanajua hizo ndio crucial games (muhimu sana) endapo watashinda ligi itakuwa imeisha rasmi sababu simba atakuwa anawazidi yanga n azam zaidi ya point 20. Kitakachobaki kwa azam n yanga ni kupigania FA tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuifunga Timu dhaifu ya Mbao FC ambayo kwa jinsi ilivyokuwa mbovu Jana Goli Mbili kuna Haja ya Wewe Kuwapongeza hivi? Kwa Simba SC ilivyo sasa na kwa jinsi Mbao FC ilivyokuwa Mbovu jana nina Uhakika ingeibuka na Goli kati ya 8 au hata 11. Hao unaowapongeza kwa Ushindi bado wana tatizo Kubwa la Ushambuliaji na hata Beki zao za Kati na ile ya Kulia ina matatizo na huenda kwa Mapungufu hayo basi Jumapili wakakutana na Dhahama Kubwa kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi ambayo ina Wachezaji ambao wanaweza Kuamua Mchezo muda na wakati wowote ule.
unachosema ni kweli, mbao walipata nafasi zaidi ya tatu jana ila wakashindwa kizitumia.
ila mchezo wa azam leo utakuwa ni mgumu kuliko wa yanga hiyo j²
 
unachosema ni kweli, mbao walipata nafasi zaidi ya tatu jana ila wakashindwa kizitumia.
ila mchezo wa azam leo utakuwa ni mgumu kuliko wa yanga hiyo j²
Naona unampamba Genta. 🤣🤣🤣🤣

Naona anayatumia maandishi vizuri kuipamba na kuikuza 5imba kuliko uhalisia.
 
Back
Top Bottom