Chonde chonde msaada wataalam kichwa kinapasuka

Jalema

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
594
Reaction score
868
Hapa nilipo ni mwezi sasa unakatika kila siku lazima nimeze diclopa mbili asubui na jioni laa sivyo nitashindwa hata kuamka kitandani maana maumivu ya kichwa yananisumbua kweli kweli napata mafua mazito sana yanayokaribia kukauka mda mwine yanakua kama na mchamchanga na vumbi na kila nikivuta pumzi naskia mishipa yote ya kichwa inauma huku kichwa kinagonga kisawasawa sina stress yoyote,sijaachwa na mwanamke wala sijasalitiwa wala sina jambo ninalowaza sana mpaka kufikia huko maana wengi wanasema ndio sababu labda nilisha kwenda hospitali kubwa nikapima kila kitu macho, damu,mkojo,kinyesi, yaan nilipima kila kitu wakaniambia hawaoni tatizo kuanzia kichwani mpaka mwili wote na wakaniambia hicho sio kipanda uso wakanipiga pain killer wakanipa vidonge vinaitwa ubprofin, nimemeza vyote lakini nafuu sijapata nimerudi kwenye diclopa msaada wataalam naomba maana naona nikiendeleza kumeza ivi vidonge kila siku vitakua sumu mwilini
 
Ukimeza hizo diclopa zinasaidia??
Kilianza ghafra au mdogo mdogo?
Hicho kichwa kinauma muda woote yaani hakitulii au kuna mida kinatulia??
Unapata homa??

Jibu kwanza hapo au unaweza kuja PM
 
Ukimeza hizo diclopa zinasaidia??
Kilianza ghafra au mdogo mdogo?
Hicho kichwa kinauma muda woote yaani hakitulii au kuna mida kinatulia??
Unapata homa??

Jibu kwanza hapo au unaweza kuja PM
Tufanye diagnosis wote hapa mkuu kwa faida ya wengi badala ya huko chemba
 
Nikimeza diklopa kinapoa mpaka jioni mdaa wa kulala kinaanza tena

Kilianza ghafla

Kinauma muda wote ila nikimeza diklopa kinaacha

Sina homa mkuu npo kawaida kabisa kikubwa ni makamasi mazito

Nnashkuru mkuu nnasubir msaada wako
Ukimeza hizo diclopa zinasaidia??
Kilianza ghafra au mdogo mdogo?
Hicho kichwa kinauma muda woote yaani hakitulii au kuna mida kinatulia??
Unapata homa??

Jibu kwanza hapo au unaweza kuja PM
 
Macho nilisha pima mkuu waliniambia yapo vizuri
 
Je hayo makamasi ni ya kawaida au yanatoa harufu?
Isije ikawa labda uliingiwa na kitu puani au kooni na kushindwa kutoka
Unahitaji vipimo kwenye mfumo wa masikio, pua na koo na uende kwa specialists
Kichwa nafikiri ni matokeo ya tatizo
 
Kuna ugonjwa unaitwa kambaku ni aleji kwa baadhi ya watu wakila sana nyama au maziwa ya mtindi nenda kwa wamasai waelezee watakupa dawa ya kunywa kwenye uji au supu na inanuswa pia natumai utapata nafuu
Macho nilisha pima mkuu waliniambia yapo vizuri
 
Nikimeza diklopa kinapoa mpaka jioni mdaa wa kulala kinaanza tena

Kilianza ghafla

Kinauma muda wote ila nikimeza diklopa kinaacha

Sina homa mkuu npo kawaida kabisa kikubwa ni makamasi mazito

Nnashkuru mkuu nnasubir msaada wako
Tofauti na painkiller umemeza dawa yoyote kama antibiotics.

Maana mimi hapo kutokana na dalili zako nineona inaweza kuwa chronic sinusitis au migraine(lakini migraine hawa inapoa haizidi siku 3 na huwa ya kujirudia rudia)..

Nakushauri rudi hospital uliyotibiwa mwanzo uwaeleze tatizo lako halijapona watakusaidia.

Ningekutajia dawa ya hio sinusitis lakini sio ethical kutibu mtu mtandaoni bila kumuona..inawezekana niko wrong kabisa.
Ukimuina dr face to face atakusaidia zaidi..
 
Tufanye diagnosis wote hapa mkuu kwa faida ya wengi badala ya huko chemba
Kwa dalili hizo kuna differential nyingi na kuzi-rule out inabidi uongee na mgonjwa muda wa kutosha tu sio kwa text 2.
 
Shukran mkuu
Kuna ugonjwa unaitwa kambaku ni aleji kwa baadhi ya watu wakila sana nyama au maziwa ya mtindi nenda kwa wamasai waelezee watakupa dawa ya kunywa kwenye uji au supu na inanuswa pia natumai utapata nafuu
 
Sijameza antibiotcs yeyote
 
Mkuu emb naomba unitajie antbiotic inayoweza kutibu huu ugonja nijaribu nione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…