Chonde chonde Simba na uchawi ugenini

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Nawaomba ndugu zangu mkaliepushe taifa na aibu ya kufanya uchawi hadharani kama mlivyofanya kule South Africa. Kikosi cha ushindani mnaaho na mnaweza kupata matokeo huko ugenini. Hivyo nawaomba mjiepushe (walau kwa leo) na tabia hiyo mbaya kwa maslahi mapana ya taifa.

Ahsante
 
Ushauri wa busara kabisa huu. Ukiona wako kimya, basi ujue ushauri wako umefika, na pia utazingatiwa. Uchawi hauna nafasi kwenye karne hii ya 21!
 
Wamevaa visit Tanzania alafu wanafanya uchawi hadharani wanalichafua taifa hawa
 

Attachments

  • images.jpeg
    32.4 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…