Chonde chonde Simba, shindeni mechi ya leo tuchukue ubingwa

Chonde chonde Simba, shindeni mechi ya leo tuchukue ubingwa

Ila kutakuwa na kitu huyo dogo atakuwa anazingua,kwanini kila kocha
Tuseme nidhamu sidhani simba wangeshasema pale simba kuna mambo flani hivi huyu mchezaji wa flani acheze huyu asicheze hata kocha anapewa mfumo huo huo
 
Back
Top Bottom