Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

Ni aibu sana nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi kusaidia nchi kubwa kama Tanzania eti vi nchi kama mkoa ndo vinasaidia Tanzania sasa UHURU ulikuwa na maana gani.

Wenzetu walishatoka kwenye kuwaza basic needs.
Haiti ilipata uhuru zaidi ya miaka 200 sasa lakini kwa sababu ya uongozi mbovu... Same to Tanzania. Miaka 60 hakuna la maana linalioendea zaidi ya ule wimbo wetu maarufu wa amani Utafikiri ni sisi tu Afrika nzima wenye amani.
 
Kama unayosema wewe ni ya kweli basi sababu za kujitoa kwao zilikuwa za uongo na kama sababu walizosema ni za kweli basi wewe hukuchimba vya kutosha kuhusu hili sakata.
 
Hawapendi kukaa nchi zenye magaidi. Norway hawana ubalozi Somalia. Baada ya kugundua Hamza ni mwanaccm tena mlezi wa chama uvccm wamefungasha vilago.
 
Hawapendi kukaa nchi zenye magaidi. Norway hawana ubalozi Somalia. Baada ya kugundua Hamza ni mwanaccm tena mlezi wa chama uvccm wamefungasha vilago.
CCM wanapaswa kijitathmini kama wanatosha kuendana na jumuiya ya kimataifa! Haiwezekani wawakilishi wa nchi rafiki wakae kwa jirani!
 
nordic countries walikuwa na interest na gas yetu kwa kampuni ya orphil (kama sikosei), kama wamechukua si ukute serikali imewapiga chini....hahaha, tupa mbali huko takataka hao.
Mawazo ya kimaskini.
 
Dernmark, wamegundua Magufuli alikuwa kichwa ila sasa hivi hamna kitu wameamua kusepa zao.
Wajirekebishe hawa wa safari za angani kila siku kama sivyo tuendelee kula hasara.
 
Magufuli hafai...tena angekuwepo huyo mpaka leo Denmark wangeshafunga ubalozi wao tangu wiki iliyopita.
 
Hata wewe ni dikteta katika maisha yako binafsi, familia na jamii inayokuzunguka vinginevyo usingeonesha chuki dhidi ya JPM mwenye msimamo usioyumbishwa na yeyote/chochote na anlikuwa tayari kwa athari zozote ziwe chanya au hasi.

Demokrasia ni uchochoro wa uhalifu
 
Hizi Nchi za Scandinavian huwa always zinaenda pamoja. Na mara nyingi Denmark ndio wanakuwaga wa kwanza ku test the Water. Kwa vile amekwisha tangaza, basi hawa wengine watafuata tu.

Kikubwa kama Nchi, hatujielewi tunataka nini na tunaenda wapi....Mikataba na misaada mingi inapokelewa toka kwa Nchi zenye uwalakini Mkubwa....Sasa hawa wameshaona mbali na hawataka ugomvi na Mtu.

Tusubiri, kuna makaburi ya Watu yatakuja vukuliwa na Vizazi vijazwa na mifupa yao kucharazwa viboko....
 
Ni jambo la kusikitisha serikali kuchukulia hili jambo poa?
 
Mengine nakubaliana nawe, si yote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…