Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa PSSSF kila mstaafu ana tarehe tofauti ya kuhakiki. Kama unapaswa kuhakiki mwezi February ukaenda kuhakiki January uhakiki wako ni batili.Tafadhali sana tujuzane tarehe za kuhakiki, ni January hii.
Tusije tukafutwa kwenye vipension vyetu!!
Asante sana Mkuu!Kwa PSSSF kila mstaafu ana tarehe tofauti ya kuhakiki. Kama unapaswa kuhakiki mwezi February ukaenda kuhakiki January uhakiki wako ni batili.
Kama kama ulipaswa kuhakiki January na ukaacha kwenda kwa sababu mbalimbali tuseme ukaenda kuhakiki mwezi July basi utalipwa pensheni yako ya kuanzia January.
Ni vyema kufuatilia ili kujua tarehe halisi ya kuhakiki. Sio lazima iwe January.
Unapataje taarifa Mkuu?Kila mstaafu anapangiwa mwezi wa kuhakikiwa. Mimi nimepangiwa kuhakikiwa tangu tarehe 10.1.2022.
2022, Sorry!Mkuu, leo nimepata SMS, natakiwa niende tarehe 25/01/2020.
Asante sana kwa ushirikiano