mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Kwani bahati haitegemei uwezo? Wenye hekima zao wamesema: 1. Shallow men believe in luck, strong man believe in cause and effect (watu dhaifu huamini kwenye bahati, watu madhubuti huamini kwenye chanzo na matokeo) 2. Chance favours the prepared mind (bahati humpendelea mwenye akili aliyejiandaa) 3. Luck is when preparation meets opportunity (Bahati ni pale maandalizi yanapokutana na fursa)Hv unawachukulia zesco poa yetu macho nimekwambia hata Mechi na roller ni bahat hakuna mpira tulocheza mwingi pia nakukumbusha hatugombani usitoe lugha chafu toa maoni na si kumwambia mtu kuwa hana akili ilikuwaje tukafungwa na ruvu shooting tatizo ukweli ukisemwa unakuwa mchungu kama hujui mimi ni Yanga Damu mpira unaonekana tunasema kinachoonekana
Halafu unadhani bahati si kipaji!