Chondechonde nafasi za uteuzi anazopewa raisi zitatupeleka pabaya siku moja ni bora tuzipunguze

Chondechonde nafasi za uteuzi anazopewa raisi zitatupeleka pabaya siku moja ni bora tuzipunguze

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
wakati watanzania wameanza kuonyesha nia ya kuongoza nchi hii ni wazi kuwa watanzania tunaendelea kuunda makundi tena tukiwekeza sana katika kuutafuta uraisi.

huu sio mwelekeo mzuri kama ndani ya makundi kunaweza kuwa na wafuasi wenye malengo ya kimaslahi zaidi ya ushabiki wa kisiasa.


ni vema tupunguze nafasi za raisi kufanya uteuzi tuweke mifumo ya ushindani ili kama kuna watu wana malengo ya kimaslahi wasijiingize katika makundi ya kampeni bali wabaki mashabiki tu.
 
wakati watanzania wameanza kuonyesha nia ya kuongoza nchi hii ni wazi kuwa watanzania tunaendelea kuunda makundi tena tukiwekeza sana katika kuutafuta uraisi.

huu sio mwelekeo mzuri kama ndani ya makundi kunaweza kuwa na wafuasi wenye malengo ya kimaslahi zaidi ya ushabiki wa kisiasa.


ni vema tupunguze nafasi za raisi kufanya uteuzi tuweke mifumo ya ushindani ili kama kuna watu wana malengo ya kimaslahi wasijiingize katika makundi ya kampeni bali wabaki mashabiki tu.

Hayo maoni yako tu kijana pole,inaonekana umevimbiwa mihogo wewe ukaruka na thread hii isiyo na kichwa wala miguu!
 
wakati watanzania wameanza kuonyesha nia ya kuongoza nchi hii ni wazi kuwa watanzania tunaendelea kuunda makundi tena tukiwekeza sana katika kuutafuta uraisi.

huu sio mwelekeo mzuri kama ndani ya makundi kunaweza kuwa na wafuasi wenye malengo ya kimaslahi zaidi ya ushabiki wa kisiasa.


ni vema tupunguze nafasi za raisi kufanya uteuzi tuweke mifumo ya ushindani ili kama kuna watu wana malengo ya kimaslahi wasijiingize katika makundi ya kampeni bali wabaki mashabiki tu.
Mambo hayo kamwambie mmeo Mbowe na Slaa mapenzi wanaopenda wawe madarakani kila kukicha na kuishia kugawana ruzuku za chama chenu cha wachumia matumbo a.k.a CHADOMO
 
you don't think anything outside political parties.

lakini yawezekana matumaini yako kwa hoja hii ninayaweka pabaya, ila kumbuka interest zako zikishindana na iterest za watanzania walio wengi sheria zinasemaje.

Kwani wewe ameshakuteua kwa nafasi gani?kamuulize Mbowe yeye alipochakachua Katiba ya chama ili ahalalishe kukaa madarakani mamlaka hayo aliyapata kwa nani?
 
mda wa utapeli kwenye saiasa unahesabika hivyo kama hauna value za kuwa kiongozi usitegemee kutafuta kundi na kuanza kupiga kelele maana adui mkubwa wa demokrasia ni ujinga.

lakini very soon ujinga kwa watanzania utaisha na nyinyi msio na sifa za uongozi mnaotafuta dili kupitia uongozi mtakosa nafasi.

Hayo maoni yako tu kijana pole,inaonekana umevimbiwa mihogo wewe ukaruka na thread hii isiyo na kichwa wala miguu!
 
adui wetu sote ni ujinga lakini tukitoka katika ujinga huu hatutaanza kunyoosheana vidole kwa matatizo yanayotukumba au yanayoweza kutumba bali tutafocus katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo hayo.

Mambo hayo kamwambie mmeo Mbowe na Slaa mapenzi wanaopenda wawe madarakani kila kukicha na kuishia kugawana ruzuku za chama chenu cha wachumia matumbo a.k.a CHADOMO
 
you don't think anything outside political parties.

lakini yawezekana matumaini yako kwa hoja hii ninayaweka pabaya, ila kumbuka interest zako zikishindana na iterest za watanzania walio wengi sheria zinasemaje.

Umeongea lugha ya watu ukaona haueleweki mwenyewe ukajirudisha kwenye lugha ya taifa,umasikini wa fikra ni mbaya sana, walio wengi wakina nani,acha kupoteza muda wako.
 
adui wetu sote ni ujinga lakini tukitoka katika ujinga huu hatutaanza kunyoosheana vidole kwa matatizo yanayotukumba au yanayoweza kutumba bali tutafocus katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo hayo.

Staili yako ya kujibu naona imebadilika au ulikua umeuza ID kwa mtu teh teh au ngonjera zinakaribia kuanza.
 
adui wetu sote ni ujinga lakini tukitoka katika ujinga huu hatutaanza kunyoosheana vidole kwa matatizo yanayotukumba au yanayoweza kutumba bali tutafocus katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo hayo.
Kijana unapaswa kubadilika na achana kupotoshwa na hao wanajiita Ukawa maana hawana jipya wako kugombania madaraka na majimbo, hao ndo wachumia matumbo wako kwa maslahi yao tu, wakipewa uongozi itakuwa ni vurugu tupu, chamsingi ni kutowapa hata chembe ya uongozi popote muhimu ndani ya nchi hii. Acha kutumikisshwa maana enzi za utumwa zilishapitwa, nakushangaaa unapowatetea kwa malipo ya jero jero. Amka wewe mtoto
 
kujitambua ni hatua ya kwanza kuelekea kupata suluhu.

kama bado tunadhani wakati wa kampeni unapofika kila mmoja wetu atafute mgombea wa kumsapoti ili baada ya uchaguzi kukamilika kama karata yake ameicheza vizuri basi anapata angalau nafasi kuteuliwa katika nafasi alizopewa raisi kufanya uteuzi au kuingizwa nafasi nzuri.

hakuna anayehoji hawa watatufanyia nini ili tuwachambue tupate the best among them badala yake tunasapoti hata ujinga ulioko katika makundi yetu na kukosoa ukweli ulioko kwenye makundi tofauti na yetu.

tunawachanganya wananchi kiasi hawajui wachague kwa kutumia kigezo gani maana kila mgombea ana wanaomsema vibaya na wanaomsema vizuri. tumejikuta uzuri wa mgombea au ubaya wake si hoja tena bali ngonjera na katika ngonjera sidhani kama tunaweza kupata kiongozi mzuri.

lakini yote haya yanachagizwa na makundi ambayo yanajengwa nyuma ya wagombea kwani ndani ya hawa wapo wanaotafuta nafasi za kimaslahi hivyo hata kama anayemsapoti anaona kabisa huyu anatumia "gear" ya "riverse" na akipita taifa haliwezi kupiga hatua yoyote lakini kwake yeye binafsi huyo akipita ndiye anaweza kumpa nafasi mfano apewe ukurugenzi wa shirika wakati hana uwezo wa kuliongoza akalifilisi kwa uongozi mbaya na dili za kuliibia ilimradi atengeneze maisha yake mwenye.

majority yetu ni bendera ambazo hazitathmini tunayoelezwa ili mwisho wa siku tupate kiongozi bora kutokana na yanayotukabili bali upepo ukivuma kuelekea huku basi tunafuata.

ujinga huu wa kufikiri ni hatari sana na anayefanya uchaguzi katika ujinga bila kuelewa mantiki ya kile anachokifanya bali kubeba taswila nyingine na kuanza kufanya upuuzi akidhani ndio anapata kumbe anapotea huwezi kusema anafanya uchaguzi wa kidemokrasia.

Umeongea lugha ya watu ukaona haueleweki mwenyewe ukajirudisha kwenye lugha ya taifa,umasikini wa fikra ni mbaya sana, walio wengi wakina nani,acha kupoteza muda wako.
 
mda wa utapeli kwenye saiasa unahesabika hivyo kama hauna value za kuwa kiongozi usitegemee kutafuta kundi na kuanza kupiga kelele maana adui mkubwa wa demokrasia ni ujinga.

lakini very soon ujinga kwa watanzania utaisha na nyinyi msio na sifa za uongozi mnaotafuta dili kupitia uongozi mtakosa nafasi.

Muda wa utapeli nini wakati wananchi ndo wanaamua we vipi?
 
kujitambua ni hatua ya kwanza kuelekea kupata suluhu.

kama bado tunadhani wakati wa kampeni unapofika kila mmoja wetu atafute mgombea wa kumsapoti ili baada ya uchaguzi kukamilika kama karata yake ameicheza vizuri basi anapata angalau nafasi kuteuliwa katika nafasi alizopewa raisi kufanya uteuzi au kuingizwa nafasi nzuri.

hakuna anayehoji hawa watatufanyia nini ili tuwachambue tupate the best among them badala yake tunasapoti hata ujinga ulioko katika makundi yetu na kukosoa ukweli ulioko kwenye makundi tofauti na yetu.

tunawachanganya wananchi kiasi hawajui wachague kwa kutumia kigezo gani maana kila mgombea ana wanaomsema vibaya na wanaomsema vizuri. tumejikuta uzuri wa mgombea au ubaya wake si hoja tena bali ngonjera na katika ngonjera sidhani kama tunaweza kupata kiongozi mzuri.

lakini yote haya yanachagizwa na makundi ambayo yanajengwa nyuma ya wagombea kwani ndani ya hawa wapo wanaotafuta nafasi za kimaslahi hivyo hata kama anayemsapoti anaona kabisa huyu anatumia "gear" ya "riverse" na akipita taifa haliwezi kupiga hatua yoyote lakini kwake yeye binafsi huyo akipita ndiye anaweza kumpa nafasi mfano apewe ukurugenzi wa shirika wakati hana uwezo wa kuliongoza akalifilisi kwa uongozi mbaya na dili za kuliibia ilimradi atengeneze maisha yake mwenye.

majority yetu ni bendera ambazo hazitathmini tunayoelezwa ili mwisho wa siku tupate kiongozi bora kutokana na yanayotukabili bali upepo ukivuma kuelekea huku basi tunafuata.

ujinga huu wa kufikiri ni hatari sana na anayefanya uchaguzi katika ujinga bila kuelewa mantiki ya kile anachokifanya bali kubeba taswila nyingine na kuanza kufanya upuuzi akidhani ndio anapata kumbe anapotea huwezi kusema anafanya uchaguzi wa kidemokrasia.

Nenda kapumzike basi waachie watanzania waamue hatma ya nchi yao siku ikifika usipoteze muda kwa nginjera na mashairi yaleyale kila time unapoingia humu!
 
kama unavyoona mtu anatoka nyumbani kwake akienda safari njiani anakutana na matapeli wakamuambia nauli yako hiyo sisi ukitupa tunaweza kuifanya iwe mara mbili.

mwananchi huyu kwa uelewa mdogo alionao na kwa shida alizonazo anaona kufanyiwa huu muujiza si ndio baraka anaamua kuwapa matapeli waliovaa ngozi ya kufanya miujiza.

lakini mwisho wa siku ni msafiri huyu kupoteza hata nauli yake badala ya fedha zake kuongezeka maradufu.

hatuwezi kusema maadamu msafiri huyu kafanya maamuzi mwenyewe basi tapeli huyu yuko sahihi.

lakini katika jamii wapo watu wanatoa elimu ya biashara ambayo mwananchi akiifuata anaweza kuzalisha fedha yake.

taswila hizi zipo pia katika uchaguzi kwa maana ndni ya uchaguzi wapo matapeli wa demokrasia wanaowachezea wananchi karata tatu.

elimu pekee ndio njia ya mwananchi kuweza kubaini wagombea matapeli au wapiga debe matapeli pamoja na wagombea na wapiga debe wa ukweli.

Muda wa utapeli nini wakati wananchi ndo wanaamua we vipi?
 
you don't think anything outside political parties.

lakini yawezekana matumaini yako kwa hoja hii ninayaweka pabaya, ila kumbuka interest zako zikishindana na iterest za watanzania walio wengi sheria zinasemaje.


Kila time nakuuliza, watqnzania walio wengi, wapi hao?Tanzania siasa ndo mpango mzima otherwise hii thread yako usingeileta hapa!hakuna matumaini kwa hiyo hoja kwa sababu haieleweki na sijui umeikwapua wapi ukaileta hapa!
 
kama unavyoona mtu anatoka nyumbani kwake akienda safari njiani anakutana na matapeli wakamuambia nauli yako hiyo sisi ukitupa tunaweza kuifanya iwe mara mbili.

mwananchi huyu kwa uelewa mdogo alionao na kwa shida alizonazo anaona kufanyiwa huu muujiza si ndio baraka anaamua kuwapa matapeli waliovaa ngozi ya kufanya miujiza.

lakini mwisho wa siku ni msafiri huyu kupoteza hata nauli yake badala ya fedha zake kuongezeka maradufu.

hatuwezi kusema maadamu msafiri huyu kafanya maamuzi mwenyewe basi tapeli huyu yuko sahihi.

lakini katika jamii wapo watu wanatoa elimu ya biashara ambayo mwananchi akiifuata anaweza kuzalisha fedha yake.

taswila hizi zipo pia katika uchaguzi kwa maana ndni ya uchaguzi wapo matapeli wa demokrasia wanaowachezea wananchi karata tatu.

elimu pekee ndio njia ya mwananchi kuweza kubaini wagombea matapeli au wapiga debe matapeli pamoja na wagombea na wapiga debe wa ukweli.


Old school hizo teh teh pole kijana jipenge upya na ulete hoja zinzoeleweka!
 
kama unavyoona mtu anatoka nyumbani kwake akienda safari njiani anakutana na matapeli wakamuambia nauli yako hiyo sisi ukitupa tunaweza kuifanya iwe mara mbili.

mwananchi huyu kwa uelewa mdogo alionao na kwa shida alizonazo anaona kufanyiwa huu muujiza si ndio baraka anaamua kuwapa matapeli waliovaa ngozi ya kufanya miujiza.

lakini mwisho wa siku ni msafiri huyu kupoteza hata nauli yake badala ya fedha zake kuongezeka maradufu.

hatuwezi kusema maadamu msafiri huyu kafanya maamuzi mwenyewe basi tapeli huyu yuko sahihi.

lakini katika jamii wapo watu wanatoa elimu ya biashara ambayo mwananchi akiifuata anaweza kuzalisha fedha yake.

taswila hizi zipo pia katika uchaguzi kwa maana ndni ya uchaguzi wapo matapeli wa demokrasia wanaowachezea wananchi karata tatu.

elimu pekee ndio njia ya mwananchi kuweza kubaini wagombea matapeli au wapiga debe matapeli pamoja na wagombea na wapiga debe wa ukweli.
Kama ulivyo wewe na utapeli wako kwa watanzania kwa kuwapigia debe hao manwana zako wa Ukawa! Ushindwe na ulegee
 
wakati watanzania wameanza kuonyesha nia ya kuongoza nchi hii ni wazi kuwa watanzania tunaendelea kuunda makundi tena tukiwekeza sana katika kuutafuta uraisi.

huu sio mwelekeo mzuri kama ndani ya makundi kunaweza kuwa na wafuasi wenye malengo ya kimaslahi zaidi ya ushabiki wa kisiasa.


ni vema tupunguze nafasi za raisi kufanya uteuzi tuweke mifumo ya ushindani ili kama kuna watu wana malengo ya kimaslahi wasijiingize katika makundi ya kampeni bali wabaki mashabiki tu.
Huo ni woga wako. Nafasi za uteuzi kama rais ajaye atakuwa mtu makini atazitumia vizuri kuteua watu makini kama alivyofanya anayemaliza muda wake
 
Kavimbewa mihogo na njugu tehteh KBB huyoo
Wewe kenge maji ondoa bangi zako humu, badala ya kuweka hoja wewe unaweka comedy, peleka kwenu huko huu uwanja sio wa kuchekesha watu. Kama una kipaji cha comedy nenda kaigize kwenye tv stations na redio
 
Back
Top Bottom