Uchaguzi 2020 Chondechonde Vyama vya Upinzani, waacheni Wabunge waliochaguliwa na Viti Maalum wakatuwakilishe

Uchaguzi 2020 Chondechonde Vyama vya Upinzani, waacheni Wabunge waliochaguliwa na Viti Maalum wakatuwakilishe

CHADEMA wakigoma, CCM wanaweza kuwapa hizo nafasi TLP au ‘mpinzani’ fake mwingine yeyote yule na ikawa hasara kwa Taifa double double

Viti maalumu plus hao wawili inaweza kuwa wabunge 18 hivi. Something is better than nothing na wakati mwingine ni sawa kuswallow pride ili kujipanga upya kama Taasisi
Hivi walioshinda wa vyama vya upinzani ni wangapi?
 
Wananchi wamemsikia aliyesema wasimchanganyie, anataka wachague kijani tu awaletee maendeleo. Nani asiyependa maendeleo. Tunasubiri maendeleo, usitutingishe mkuu. Tunataka tukajadili maendeleo Bungeni.
Maendeleo hayawezi kujadiliwa na wabunge wa kijani zaidi wanakwenda kuugeuza ukumbi wa bunge kuwa ukumbi wa Chimwaga.
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni? Muendelee kupigania haki za waliodhulmiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata Kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu
Mpumbavu wewe mwenye mawazo mgando. wabunge wote wanafanya kazi ya uwakilishi kwa maslahi mapana ya watanzania. acha ujinga
 
Kikao cha kususia Bunge kilipofanyika hakukuwa na mwanamke hata mmoja. Kwahiyo huu ni mfumo dume unaodharau nafasi ya wanawake kujiamulia mambo yao wenyewe.

Haikuwa Sahihi kutangaza uamuzi bila kuwashirikisha kinamama wenyewe.

Hapana. Wapinzani wasipewe nafasi, watawakosesha wananchi conection na kuchelewesha maendeleo.
 
UKWELI.
1. WAPINZANI HAWAENDI KUJENGA TENA BALI WANAENDA KWA AJILI YA MATUMBO YAO.

2 HAO VITI MALUMU NA WALIOSHINDA NI TOOTHLESS DOG.

3 WENGI WATAKAO INGIA BUNGENI WATAHAMIA CCM KWA HOFU YA KUACHWA 2025

Nchi imekuwa ya kijani bora waridhiane waachane na siasa
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Unatania, right? Unataka kuwaambia wakubali serikali ya wizi, wawasahau wanachama wao waliouliwa na kupigwa kwa sababu za kijinga. unafikiri wabunge wachache wa viti maalum kutoka vyama vya upinzani wataweza kubadilisha lolote linalopitishwa na wababe wa CCM?
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Dduhh

Ya Leo kali yaani wana CCM wanawatetea wapibzani
Mbona mlisema wapinzani wametuchelewesha tangu mwaka 1961?
Wauaji makatili sasa dawa walioipika inawashinda

Nendeni bungeni mkajinafasi Kwa raha ZENU
100 % CCM
 
Wakigoma watakuwa wamedhulumu haki ya wapiga kura waliowachagua sawa na CCM waliodhulumu haki ya wapiga kura kupitia kura fake.
Unaelewa au ume_comment nawe uwepo.

But hao wabunge wa kuteuliwa wasipopelekwa watakuwa wanadhurumiwa haki ya mpiga kura gani aliyewachagua, sikuelewi hapo?
 
CHADEMA wakigoma, CCM wanaweza kufanya lolote ikiwemo kubadilisha utaratibu haraka ili kuwapa hizo nafasi TLP au ‘mpinzani’ fake mwingine yeyote yule na ikawa hasara kwa Taifa double double.

Kumbuka kuna kamati mbili za mambo ya Fedha lazima ziongozwe na Wapinzani na CCM bila shaka watahakikisha hilo linatendeka

Viti maalumu plus hao wawili inaweza kuwa wabunge 18 hivi. Something is better than nothing na wakati mwingine ni sawa kuswallow pride ili kujipanga upya kama Taasisi
Hapana,wacha wabaki wenyewe wasijesingizia upinzani unakwamisha maendeleo!
Acha wafanye watakacho,hata wakitengeneza upinzani na kisha kuwapa nafasi hizo,ni sawa tu!
Pigeni kazi,uchaguzi umekwisha na tumeamua tuwaachie kila kitu CCM!
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Wakisusa wenzao wala Mana watakuwa hawajengi ila ni kubomoa na kazi yao huwa wanafikiriaga kubomoa
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Mara hii mnataka kuchanganya betri na gunzi? Mbona hamueleweki?
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Wapinzani wanapinga maendeleo na kuyachelewesha. Toka lini wakawa watetezi wetu?
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Watetezi wetu walishakataliwa na Dola. Hawa ni mamluki tu kwa maana halisi ya jina hilo.
 
Kwa Hali ya kawaida ukinawa na mjinga hutakati ni bora umwachie an anawe peke ake akitaka ni kudra za mungu
pia kuna mchezo flan uitwao draft ck Moja nilikuwa na cheza na jamaa moja iv so Yule jamaa alikuwa na kete nyingine zaidi kilichotokea alikuwa akiongeza kete uwanjani.
Kwa hekma niliamua kuacha kucheza nae lakini aliamua kuplay peke ake cjiu alipata nini
 
Back
Top Bottom