Chongolo ana muiga Magufuli kwa mambo mengi

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Ukimsikiliza anavyoongea, kutenda na kuamua Katibu Chongolo ni aina ya Magufuli ki utendaji kwa maana ya hapo na papo kwa kwa NIA NJEMA YA JAMBO LIENDE.

mfano ni ziara yake kule Iringa hakika unaweza kutamani uendelee kuwashuhudia viongozi wachache majasiri wa aina yake waliobaki hapa nchini.

Na hiyo ndiyo maana sahihi ya usaidizi kwa Rais wa Nchi ndugu Samia.
Your browser is not able to display this video.
 
Mods NISAIDIE kurekebisha kichwa cha habari badala ya IMUIGA na isomeke ANAMUIGA
 
Kwenye maigizo yake na kutoa Maelekezo ya papo Kwa papo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…