Chongolo ana muiga Magufuli kwa mambo mengi

Chongolo ana muiga Magufuli kwa mambo mengi

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Ukimsikiliza anavyoongea, kutenda na kuamua Katibu Chongolo ni aina ya Magufuli ki utendaji kwa maana ya hapo na papo kwa kwa NIA NJEMA YA JAMBO LIENDE.

mfano ni ziara yake kule Iringa hakika unaweza kutamani uendelee kuwashuhudia viongozi wachache majasiri wa aina yake waliobaki hapa nchini.

Na hiyo ndiyo maana sahihi ya usaidizi kwa Rais wa Nchi ndugu Samia.
 
Mods NISAIDIE kurekebisha kichwa cha habari badala ya IMUIGA na isomeke ANAMUIGA
 
Ukimsikiliza anavyoongea, kutenda na kuamua Katibu Chongolo ni aina ya Magufuli ki utendaji kwa maana ya hapo na papo kwa kwa NIA NJEMA YA JAMBO LIENDE.

mfano ni ziara yake kule Iringa hakika unaweza kutamani uendelee kuwashuhudia viongozi wachache majasiri wa aina yake waliobaki hapa nchini.

Na hiyo ndiyo maana sahihi ya usaidizi kwa Rais wa Nchi ndugu Samia.
View attachment 2642543
Kwenye maigizo yake na kutoa Maelekezo ya papo Kwa papo.
 
Back
Top Bottom