Watanzania wanaomba viongozi wa CCM, kuanza ziara nchi nzima kujibu hoja za ufisadi zilizotajwa na CAG kuhusu ufisadi wa Matrilioni ya fedha uliofanywa na vigogo wa Serikali kama wanavyofanya sasa kujibu hoja za mkataba wa Bandari.
Ziara ya Bandari isimame kwanza na wafanye tathmini ya mikutano ya Katibu Mkuu Chongolo dhidi ya maoni ya watanzania waliyoyatoa kupitia mitandao ya kijamii kuliko mbinu ya kuleta watu kutoka kila kata na kujaza mkutano kutengeneza mahudhuria hewa.
Sasa Chongolo aanze ziara ya kufafanua ufisadi wa trilioni zaidi ya 20 uliotajwa na CAG.
Ziara ya Bandari isimame kwanza na wafanye tathmini ya mikutano ya Katibu Mkuu Chongolo dhidi ya maoni ya watanzania waliyoyatoa kupitia mitandao ya kijamii kuliko mbinu ya kuleta watu kutoka kila kata na kujaza mkutano kutengeneza mahudhuria hewa.
Sasa Chongolo aanze ziara ya kufafanua ufisadi wa trilioni zaidi ya 20 uliotajwa na CAG.