Chongolo atupa vijembe, asema mwanasiasa mzuri hupambana wakati muafaka

Chongolo atupa vijembe, asema mwanasiasa mzuri hupambana wakati muafaka

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Daniel Chongoro ameonekana kuwalima vijembe wale wanaojipanga kwa ngazi mbalimbali za uongozi kwa kusema mtu anayeandaa watu mwaka huu kwa ajili ya 2025 sio mwanasiasa mzuri.

Amesema mwanasiasa mzuri ni yule anayepambana muda husika, kujipanga mapema sio sahihi kwa kuwa huwezi jua ya kesho. Hata hivyo amesema hata wahangaike namna gani hawawezi kuipangua mipango ya Mungu ambayo amepanga kiongozi wa kuwa ktika nafasi fulani.

Ameyasema hayo kwenye sherehe ya kumkaribisha Abdulrahman Kinana
 
Ameyasema hayo kwenye sherehe ya kumkaribisha Abdulrahman Kinana
Kweli anaweza kuondolewa kwenye hiyo nafasi.

"Tumeisha"panga ni Yeye na maandalizi ni sasa halafu huyu anakuja na kauli za kebehi dhidi ya mipango "yetu"! Ajiandae....ha ha ha haaaa joking.
 
Awataje hadharani ili yule mwigizaji wa muvi za kitalii aingie mzigoni na vichambo.
 
Matumizi ya Serikali ni makubwa, na hovyoo. Wananchi wanabebeshwa mzigo kuendesha Serikali

Stock ya Zamani ya Siku 27, inauzwa Kwa Bei MPYA

Mafuta Bei rahisi yapo huko baharini, Russia wanauza mafuta ..India na China wananunua

Chama hakiisimamii Serikali..ni kupongezana tuu
 
Back
Top Bottom