Mikutano yake watanzania wamekataa kuangalia wao wanapuyanga tu kumdanganya MamaThread yako inahusiana na wimbo Mpya?
Uko sahihi. Huwezi kwenda Arusha ukasomba watu wilaya zote za mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro halafu ukapiga picha na kudanganya watu eti mwitikio ni mkubwa. Mkutano mmoja mikoa 3?Katibu Mkuu Chongolo ni vizuri ukasimamisha ziara yako ukapata muda wa kufanya tathmini ili kujua kama hiyo mikutano yako iko connected na wananchi kwa kiasi gani. Msitafute picha za mahudhurio feki na kumtumia DP World na Mh. Rais Samia mkimdanganya kwamba wana CCM wamekubali mkataba huo.
PITIA HIZO LINK UANGALIE WATAZAMAJI NI WANGAPI WALIOFUATILIA MKUTANO WAKO WA SINGIDA. UKITOKA HAPO RUDI WA MBEYA, MTWARA, ARUSHA NA WA LEO KIGOMA NAAMINI KAMA UTAKUWA UNATAKA KUJIFUNZA UTAJUA UKWELI
HII NI TATHMINI YA MIKUTANO YA SINGIDA
Na wanavyotumia nguvu kwa kuwatishia watumishi kufika kwenye mkutano Duh.Mikutano yake watanzania wamekataa kuangalia wao wanapuyanga tu kumdanganya Mama
Na wanavyotumia nguvu kwa kuwatishia watumishi kufika kwenye mkutano Duh.Mikutano yake watanzania wamekataa kuangalia wao wanapuyanga tu kumdanganya Mama
Sijui kw Nini watu wanajioisha upepo namna hii...nipo Halmawhauri Fulani ktk Mikoa ya Kasikazin.Hapa.kuna watu walienda Arusha kuhudhuria huo.mkutano Kwa kulinda status quo tu ,ila.ka Bandari tupo nao Pamoja kupinga! Njaa mbaya sana!Uko sahihi. Huwezi kwenda Arusha ukasomba watu wilaya zote za mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro halafu ukapiga picha na kudanganya watu eti mwitikio ni mkubwa. Mkutano mmoja mikoa 3?
Mimi nimekutana na waliosombwa toka Njombe, Iringa, Mbeya na wilaya zake, Songwe na Rukwa na kurundikwa Mbeya waonekane wengi. Wamerudi na wao hawakuelewa walichoelezwa.Sijui kw Nini watu wanajioisha upepo namna hii...nipo Halmawhauri Fulani ktk Mikoa ya Kasikazin.Hapa.kuna watu walienda Arusha kuhudhuria huo.mkutano Kwa kulinda status quo tu ,ila.ka Bandari tupo nao Pamoja kupinga! Njaa mbaya sana!