Alikuwa mzalendo ingawa hakujua kama angekufa na kuliacha Taita hili mokononi mwa mafisimaji ambao alisema kama unauna wana sura nzuri sana waalike nyumbani kwako unywe nao chai. Watanzania hawakumwelewa mzee wakamkabidhi yuleyule ambaye mwalimu alimkataa na sasa wanajuta, wafanye nini wanasubiri 2015 wamwadhibu wakati yeye atakuwa keshajilimbizikizi za kutosha uswisi na anatakuwa na uwezo wa kwenda kujifisha mahali popote na mkiliteta noma sana atajifanya amekufa kaa balaha hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.