Choo cha Mil. 28.7 nyufa kila kona

Tunacheka sio kwa kufurahia kilichofanyika bali ni kujaribu kupunguza machungu ya namna watu wanavyozipiga pesa za kodi zetu !! Duh ! Hatar sana !
 
Hiki choo sio kipya kimefanyiwa ukarabati tena kiujanja ujanja
Mkuu wa wilaya diwani mbunge mea serikali za mitaa na mkandarasi lao 1 mpaka ujinga huo anaona mtu wa kawaida wao wako wapi? kwanza huyu msemaji kama kameza Cd hapo tengeta si nijimboni kwake(gwajima)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…