Choo kikiwa hivi kinaashiria nini kwa binadamu?

Choo kikiwa hivi kinaashiria nini kwa binadamu?

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,315
bedc4c2784c21d7be790afc623ccd4ca.jpg


Maelezo: Wakati mtu akitumia dozi ya malaria Kwinini
 
@#$##$ &*&/^^ !!!":*$#@&### wewe
 
Choo cha mwanadamu kinaeleza au kina uhusiano wa moja kwa moja na utendaji kazi wa mwili wa mwanadamu.....ndio maana wataalamu wanagundua maradhi mengi kupitia choo chako.....na hata mkojo wako......

Unapogundua kuwa kuna hali isiyo ya kawaida kwenye choo chako ni ishara kuwa mwili wako unatenda kazi isivyo kawaida....kwa hiyo ni jukumu lako kwenda kuwaona wataalamu wa afya.......

Ni vyema kuchunguza choo chako kila baada ya siku tatu kwani choo kinaweza kukuonyesha dalili za mwanzo kabisa za magonjwa mbali mbali katika miili yetu.......

NB;
Hata rangi haja ndogo pia zina viashiria vya maradhi......



Tunza afya yako kabla ya maradhi.....

Utumie ujana wako kwa manufaa kabla ya uzee.....

Utumie muda wako vyema kabla haujapotea......
 
Back
Top Bottom