Ni kweli choo na vyumba vya kulala wengi usafi ni shida maana chumbani anajua hakuna wa kuingiaWatz 90%wachafu sanaa
Ni kweli choo na vyumba vya kulala wengi usafi ni shida maana chumbani anajua hakuna wa kuingia
ohoo!!!binafsi sipendi choo cha kukaa labda niwe natumia peke angu[emoji3][emoji3]Kumbuka kuwa kuna watu wazima ambao hawawezi kuchutama hawa nao ni watumishi wa public toilets. Usafi ndiyo muhimu.
Choo ni sehemu ya muhimu sana, iwe nyumbani, hotelini, ofisini, sokoni, safarini, nk. Utunzaji wa choo unahusisha usafi wake. Ukitaka kufahamu ustaarabu wa jamii angalia mpango lip wa vyoo na usafi wake.
Hata uishi kwenye nyumba yenye thamani ya mabilioni, kama choo chako ni kichafu wanaokuzunguka hawataona thamani ya nyumba watashusha thamani ya ustaarabu wako.
Wastaarabu wakijenga majengo yanayohudumia jamii, wanahakikisha kuna timu kamili ya usafi wa vyoo. Hata iwe kwa kulipia lakini mtu yeyote atakae taka huduma hii inapatikana kikamilifu ikiwa na nyenzo zote za huduma iwe maji au karatasi maalum. Pia maji na sabuni ya kunawia mikono baada ya kumaliza matumizi ya choo.
View attachment 1715390
Ni kweli kabisa, choo cha mstaarabu kina mpaka maua, magazeti, unaweza kukaa na kusoma gazeti. Na kabla hajatoka anahakikisha amekuacha katika hali nzuri.Umenikumbusha S.Africa ndipo nikagundua kuwa ustaarabu wa mwafrika nenda chooni ndio utajua kuwa yupo vipi.sehemu ambapo waafrika wapo tena wale akili china unaweza kutapika,ukiwa kwa ngozi nyeupe unaweza tamani kula hapo chooni maana usafi
Wa nguvu kabisa.
Upo sahihih sana. Kuna kipindi miaka ya zamani 2000s tuliwahi kupanga katika nyumba moja iliyokuwa na choo kibovu sana maeneo ya Kurasini. Ilikuwa mtu mmoja akitoka kuoga ni lazima mwingine ayafagie yale maji kama dakika tano ndio uingie kuoga, mpaka ndugu wakawa wanaogopa kuja kutusalimia. Daaah, ile changamoto sitakaa niisahau.Choo ni sehemu ya muhimu sana, iwe nyumbani, hotelini, ofisini, sokoni, safarini, nk. Utunzaji wa choo unahusisha usafi wake. Ukitaka kufahamu ustaarabu wa jamii angalia mpango lip wa vyoo na usafi wake.
Hata uishi kwenye nyumba yenye thamani ya mabilioni, kama choo chako ni kichafu wanaokuzunguka hawataona thamani ya nyumba watashusha thamani ya ustaarabu wako.
Wastaarabu wakijenga majengo yanayohudumia jamii, wanahakikisha kuna timu kamili ya usafi wa vyoo. Hata iwe kwa kulipia lakini mtu yeyote atakae taka huduma hii inapatikana kikamilifu ikiwa na nyenzo zote za huduma iwe maji au karatasi maalum. Pia maji na sabuni ya kunawia mikono baada ya kumaliza matumizi ya choo.
View attachment 1715390
Binafsi sidhani kama choo cha kukaa ni sahihi kwa matumizi ya umma kama vile ofisini. Choo cha namna hiyo kikiwepo huko master bedroom kwa ajili ya mke na mume ni sahihi zaidi kuliko kwenye public.Hasa wanawake kazini wanajifanya hawawezi kukalia kiti mpaka waweke tissues, anaacha tissues zimeanguka sakafuni na choo hasafishi.
Vyoo vya kuchuchumaa ni changamoto kwa wenye umri mkubwa 70+. Lakini choo cha kuchuchuma hata mimi sikipendi. Ila ni rahisi kwa wageni wakati una choo cha kukaa master bedroom.Binafsi sidhani kama choo cha kukaa ni sahihi kwa matumizi ya umma kama vile ofisini. Choo cha namna hiyo kikiwepo huko master bedroom kwa ajili ya mke na mume ni sahihi zaidi kuliko kwenye public.
SahihiVyoo vya kuchuchumaa ni changamoto kwa wenye umri mkubwa 70+
Hizi takwimu zimeidhinishwa na wizara husika ya takwimu!???Watz 90%wachafu sanaa