Chris Brown, R&b crooner mwenyewe kiboko ya wabana pua ndani ya Dar fiesta
Noma sana, triple threat he is a super dancer great singer and great artist jamaa mchoraji hatari.
nope, anakuja yemi alade by the way kuna kitu kinaendelea incase hamja notice, recently wanamuziki wa USA wamekuwa wakipost pone kuja Africa kwa vsiingizo kibao ila ukweli wanahofia EBOLA, john legend alikacha zimbabwe akaenda spain..busy signal wa jamaica alikacha Uganda..........na huyu jamaa sijui kama parole yake inamruhusu kutoka nje ya USA