Chris Brown na Wizkid kuipaisha Mombasa October 8th 2016

Hahahaha ati nauli za kwenda Burkinafaso.
But am serious. Bei za viingilio ndio hizo my dear.
Duuh mkuu hivi viingilio havina nia njema na sisi ambao pesa zetu ni za kutafuta huku unamulika na tochi.
Ngoja wenye mahela wataenda mimi nasubiri clouds afanye msaada wa kurusha kwenye tv
 



Kenya sasa imebakiza matamasha ya black americans tu, wakati sisi TZ tunakaribia 8% economic growth, Kenya wamebakia kushangilia kukata viuno tu!
 
Kenya sasa imebakiza matamasha ya black americans tu, wakati sisi TZ tunakaribia 8% economic growth, Kenya wamebakia kushangilia kukata viuno tu!
we nae.... ukii.a watu wanauwezo wa kuafford luxuries ujue pesa ipo... watu wana furaha
 
Kuna hati hati kuwa yule msanii wanaemwita wa surprise akahusika tena na surprise ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…