Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
Jamani hii nchi mtu akifa na stress kaamua tu.hivi si yeye amezaa na rihana??!!nimeona mtoto ana bichwa kama lake
Aisee! Wewe jamaa mgomvi sana. Nimejikuta nacheka tu hapa.Yule jamaa wa tandale angekuwa yeye angepost kabla ya muhusika ila wizkid hata habari hana.