Chris Brown

Jr Xavi Hernandez

Senior Member
Joined
Feb 25, 2022
Posts
182
Reaction score
261
Akiwa Anatarajia Kuachia Album Yake Ya #BREEZY Mwezi June 24 Mwaka Huu Msanii @chrisbrownofficial Ameweka Wazi List Ya Wasanii Ambao Wapo Kwenye Album Yake Hiyo Na Good News Ni Kuwa Msanii Wizkidayo Amekuwa Miongoni Mwa Wasanii Ambao Wametajwa Kuwepo Katika Album Hiyo

#BREEZY Amethibitisha Uwepo Wa #WIZKID Kwenye Album Yake Hiyo Ambapo Amepost Katika Insta Story Yake Amepost Majina Ya Wasanii Wote Watakaokuwepo Kwenye Album Yake Ya #BREEZY

Credit SamMisagoTVView attachment 2230153
 
natamani watoe video ya “african bad gal” , Haikupata hype ya kutosha... looking foward to this new collab
 
Wangetia na “koh koh yoooh yooohh” ya huyu Njomba.
 
Yule jamaa wa tandale angekuwa yeye angepost kabla ya muhusika ila wizkid hata habari hana.
 
September 9 kutakuwa na tamasha la Rolling loud(Ni kama Fiesta ya Marekani) wasanii kibao watatumbuiza tamasha mwaka huu linaanzia Toronto,Canada na katika show ya tarehe 10 WIZKID atakuwa lead performer yaani ni kama vile Rick Ross au 50 alivyofanya apperance Fiesta..The boy yupo mbali sana na wafulambute wengine tunaowajua

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…