Chris Lukosi amtishia maisha Mchungaji Msigwa

Chris Lukosi amtishia maisha Mchungaji Msigwa

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,584
Reaction score
6,136
Kwenye mjadala huo chini, ameandika maneno hayo kwenye quate akiwa na maana SIKU za Mchungaji zinahesabika. Maisha yake unaweza kuhesabu kwa wazi kabisa kuwa zimebaki siku ngapi.

Ninaomba wataalamu wa LUGHA na SHERIA waliangalie hili na waweke maana yake hapa maana katika vitabu vingi nilivyosoma kuhusu Mobs, Gangs, Mafia nk ukiambia "Your days are numbered" ina maana wewe anza kununua jeneza kama siyo sanda na kujichimbia kaburi, kwani tayari umeshaandikiwa kifo chako.

Badala ya kutetemesha ametetemeka mwenyewe,
Poor Msigwa, his days are numbered......!

From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/442937-msigwa-chaliii.html
 
Unadhani ni political numbers au life numbers? Mstafute umaarufu kwa mambo yasiyokuwepo. Over all kama hajui, hatumchagui tena Iringa kwa sababu hatuna tena sababu ya kumchagua.
 
Kwani aliandika nini? Ndiyo maana nikasema wataalamu wa LUGHA na SHERIA wanipe mwanga hapo. Kama unaelewa, wewe shusha tu shule nitakuelewa Mkuu wangu.
Unadhani ni political numbers au life numbers?
 
Huyu Lukosi ni mtu wa kudharau tu kwani ni mchumia tumbo wala hawezi kumdhuru Msigwa; Huyu ----- sio size ya Msigwa kwa kila hali, muache aendelee na biashara yake ya mihadharati kupeleka ughaibuni na his days are numbered!!!
 
Dah ,
Kaazi kweli kweli,

Kaka wala usishangae. Huyu jamaa ni.wa aina yake. Alitelekeza gari yake kwa Abu wa NBC wa Iringa kutokana na deni la fedha alizokopa kwa ajili
ya kampeni.za ubunge. Lakini baada ya.kupata ubunge, alikimbilia kununua Vogue badala ya kulipa deni.
 
Hivi kuna watu bado wanafuatilia habari za Lukosi, pamoja info zote tulizopewa kumhusu? Kazi kweli kweli!
 
Kwani aliandika nini? Ndiyo maana nikasema wataalamu wa LUGHA na SHERIA wanipe mwanga hapo. Kama unaelewa, wewe shusha tu shule nitakuelewa Mkuu wangu.

If a politician tells u that ur days r numbered, the statement is purely political. But if a bandit tells u so, be careful.
 
Unadhani ni political numbers au life numbers? Mstafute umaarufu kwa mambo yasiyokuwepo. Over all kama hajui, hatumchagui tena Iringa kwa sababu hatuna tena sababu ya kumchagua.[/QUn. Najua hata uchaguzi uliopita hukumchagua na wala wewe hatafanya mimi nisimpigie kura wewe kama humpigii hulazimishi
 
Hii ni kali jamani, unatania?? au upo serious mkuu?? is this what you call a threat?? this does not fit anywhere under s.214 of the Penal code cap 16.R.E 2002. (Any person who,Knowing the contents thereof, directly or indirectly causes any person to receive any writing threatening to kill any person is guilty of a felony, and is liable to imprisonment for seven years.) you are wasting our valuable time...
 
Hotuba ya Msigwa ililiaibisha taifa, Watu hawakutegemea Bunge kutumika kama jukwaa la UDAKU.

Katika hali kama hivyo reactions za namna mbalimbali zinavumulika.

Hata Mbowe mwenyewe akisikitika sana na hotuba ya Msigwa...
 
Kaka wala usishangae. Huyu jamaa ni.wa aina yake. Alitelekeza gari yake kwa Abu wa NBC wa Iringa kutokana na deni la fedha alizokopa kwa ajili
ya kampeni.za ubunge. Lakini baada ya.kupata ubunge, alikimbilia kununua Vogue badala ya kulipa deni.

Kajifunze kwanza kuandika ndo uje humu. Sawa?
 
Hotuba ya Msigwa ililiaibisha taifa, Watu hawakutegemea Bunge kutumika kama jukwaa la UDAKU.

Katika hali kama hivyo reactions za namna mbalimbali zinavumulika.

Hata Mbowe mwenyewe akisikitika sana na hotuba ya Msigwa...

Sijamsia Mbunge yeyote wa Chama Cha Majangili akihtaj ushahidi wa tuhuma alizoibua Msigwa. Why?

Na kama Msigwa alizusha uongo ni kwa nini Majangili hamuendi mahakamani?
 
Kwenye mjadala huo chini, ameandika maneno hayo kwenye quate akiwa na maana SIKU za Mchungaji zinahesabika. Maisha yake unaweza kuhesabu kwa wazi kabisa kuwa zimebaki siku ngapi.

Ninaomba wataalamu wa LUGHA na SHERIA waliangalie hili na waweke maana yake hapa maana katika vitabu vingi nilivyosoma kuhusu Mobs, Gangs, Mafia nk ukiambia "Your days are numbered" ina maana wewe anza kununua jeneza kama siyo sanda na kujichimbia kaburi, kwani tayari umeshaandikiwa kifo chako.



From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/442937-msigwa-chaliii.html

Yeye ndie atapata aibi ya mwaka na magonjwa yake lukuki! Unajua watu wasio na akili wakiwa upande wa serikali wanadhani wanaweza kilakitu!!! Hata riz1 anatabia hii!!
 
Lukosi anamanisha Msigwa anaweza akapoteza uhai wake wakati wowote.
Kweli Mungu yupo na Msigwa lukosi karopaka mipango bila kutadhamia.
Chochote kibaya kikitokea kwa msigwa lukosi awajibishe kwa kila namna.
 
Sijamsia Mbunge yeyote wa Chama Cha Majangili akihtaj ushahidi wa tuhuma alizoibua Msigwa. Why?

Na kama Msigwa alizusha uongo ni kwa nini Majangili hamuendi mahakamani?

Msigwa kama ana ushahidi ana haja gani ya kungoja mpaka aombwe? Yeye si aupeleke anakoona kunastahili?

Hii tabia ya Msigwa ya kitoto kwelikweli, yaani anasema kitu ili aombwe ushahidi!! Watu wamempuuzia tu na UDAKU wake...
 
Hapa tunaongelea maneno ya Chris Lukosi kuwa siku za Mch. Msigwa zinahesabika.

Haya mengine peleka huko mbali kabisa kwa wanywa VINANA.
Hotuba ya Msigwa ililiaibisha taifa, Watu hawakutegemea Bunge kutumika kama jukwaa la UDAKU.

Katika hali kama hivyo reactions za namna mbalimbali zinavumulika.

Hata Mbowe mwenyewe akisikitika sana na hotuba ya Msigwa...
 
Back
Top Bottom