Wakenya huwa ni washamba by natureTI alishakuja bongo pia. Na sio TI tu Fifty cent, Rick Ross, Shaggy, Lil Kim, Omarion, Neyo etc
Hakuna nchi wanaosikiliza mziki kutoka nchi moja, hivyo ni ujinga kufikiri Watz wanadhani mnasikiliza mziki wa bongo tu.
Sijui kwa nini Wakenya Mnapenda kushoboka kwa mabeberu mpaka wasanii wao.
Wasanii wakubwa wanawaheshimu hadi wasanii wetu ndio maana mpaka wamepiga collabo na Watz...
Muziki wetu umekua Sana asee 😂😂😂 imagine nchi hazijui hata Kidogo kuzungumza swahili lakini zinashobokea swahili songs kinoma 😂😂😂
Tunataka kitu kama hiki, huyo ti alishakuja Tanzania miaka mingi tu,
LOL me mwenyewe nashangaa jinsi West Africa walivyoielewa bongo flava, nimeona hayo mapokezi ya mashabiki mpaka nikashangaaMuziki wetu umekua Sana asee 😂😂😂 imagine nchi hazijui hata Kidogo kuzungumza swahili lakini zinashobokea swahili songs kinoma 😂😂😂
Yaani ni balaa 😂😂😂LOL me mwenyewe nashangaa jinsi West Africa walivyoielewa bongo flava, nimeona hayo mapokezi ya mashabiki mpaka nikashangaa
Diamond ni International artiste % zote
Yaani ni balaa 😂😂😂
Yaani hawajui hata kuzungumza kiswahili lakini wamekariri nyimbo balaa 😂😂😂
Sierra Leone hiyo baba 🔥🔥🔥🔥
Ile language barrier ilikuwa hapo...Ni mungu anajua tu,TI alishakuja bongo pia. Na sio TI tu Fifty cent, Rick Ross, Shaggy, Lil Kim, Omarion, Neyo etc
Acha ungese hakuna nchi wanaosikiliza mziki kutoka nchi moja, hivyo ni ujinga kufikiri Watz wanadhani mnasikiliza mziki wa bongo tu.
Sijui kwa nini Wakenya ni vilazavilaza tu, Mnapenda kushoboka kwa mabeberu mpaka wasanii wao.
Wasanii wakubwa wanawaheshimu hadi wasanii wetu ndio maana mpaka wamepiga collabo na Watz...
Fatilia mashindano ya Bongo Star Search kama wakenya wenzako walivyojazana kule YouTube upunguze ushamba kidogoIle language barrier ilikuwa hapo...Ni mungu anajua tu,
Plus hawa wote wamekuja Kenya so sioni jipya,
Lol! Heri sisi washamba lakini hatupo kwenye LDCWakenya huwa ni washamba by nature
Reggae( roots,riddimz,dancehall,raggatone)kwa upande wa reggae kenya mpo vzuri kuhost mastaa mbalimbali wa reggae
tz kdogo ka reggae haileweki iv ila n mziki mmoja bomba sana
Msanii gani wa Kenya kafanya collabo na msanii mkubwa A-list duniani?Ile language barrier ilikuwa hapo...Ni mungu anajua tu,
Plus hawa wote wamekuja Kenya so sioni jipya,
LDC ni jina tu la mzungu, maisha ya Watanzania wa kawaida ni mazuri kuliko maisha ya wakenya wa kipato cha katiLol! Heri sisi washamba lakini hatupo kwenye LDC
Hili nalo ni swali kweli?..Msanii gani wa Kenya kafanya collabo na msanii mkubwa A-list duniani?