Chris Mauki umeshindwaje kuelewa nadharia rahisi kiasi hiki?

Chris Mauki umeshindwaje kuelewa nadharia rahisi kiasi hiki?

alikuwa anatafuta ----the kick---- he got it!!!.......wanaume tunajijua wenyewe....una mke, mchepuko na PUNYETO kwa sana.....atuache na mihangaiko yetu.....
 
Mi naona wanaume wamepaniki Sanaa halafu hakumaanisha wao wanavyotafsiri yaani km walimpania hivii
Aiseee kweli huijui kesho yako,angejua haya usiku kwamba nikiandika hivi kesho patachimbika yani statement yangu ita wavuruga vuruga vichwa mafaza house kutoka kila pembe ya nchi basi asingeamka na kuandika vile,Ona sasa mwanakulitafuta mwana kulipata.
 
Huwezi ukaanzisha vita halafu utegemee adui akuattack unavyotaka wewe na si anavyotaka yeye adui,christina mauki ameanzisha vita na tunaruhusiwa kumuattack kwa namna yoyote tunayoiona inafaa this is all out war bro,tena mimi naenda mbali zaidi namroga kabisa
[emoji16][emoji3][emoji23] mkuu huko umefika mbali
 
Back
Top Bottom