Hiyo vocabulary umeitoa wapi tena mamushka?
Hta usinichukie kabisa.Mie nashangaa tu upo kimyaaaaa.Yani nimekumiso kweli yani.sijui nani anakukeep bizeMrembo wa Iribini mie karibu ntakuchukia kwa kweli....wat u r doing to me haishauriwi hata na madaktari......
si huyo charity wako huyo anumiza moyo wangu tuuuuuuuu......
mbona hata wewe juzi uliniambia hivo hivo....ntaexpose ile PM Pako oohoooo!!!![/QUOTE]
PM tena? nionee huruma mwenzio.presha inapanda presha inashuka.
kiko wapi kitunguu saumu jamani.nifowadie basi hiyo Pm my dia.
Usisahau na juisi ya Ukwaju!!PM tena? nionee huruma mwenzio.presha inapanda presha inashuka.
kiko wapi kitunguu saumu jamani.nifowadie basi hiyo Pm my dia.
jamani tshirt tena church eeeh!!! sio mimi, mie nimevaa ile nguo nloshonaga kwa fundi Ally unaikumbuka??
Mimi ni hawavumi lakini wamo(underground)
do ze nidfuli plz ya kuibua vipaji humu Jf.
Anzisha JF STAR SEARCH.Wewe na Chris ndo mtakuwa wasimamizi wakuu.
si huyo charity wako huyo anumiza moyo wangu tuuuuuuuu......
mbona hata wewe juzi uliniambia hivo hivo....ntaexpose ile PM Pako oohoooo!!!!
Hta usinichukie kabisa.Mie nashangaa tu upo kimyaaaaa.Yani nimekumiso kweli yani.sijui nani anakukeep bize
si huyo charity wako huyo anumiza moyo wangu tuuuuuuuu......
mbona hata wewe juzi uliniambia hivo hivo....ntaexpose ile PM Pako oohoooo!!!![/QUOTE]
PM tena? nionee huruma mwenzio.presha inapanda presha inashuka.
kiko wapi kitunguu saumu jamani.nifowadie basi hiyo Pm my dia.
kwani imani yako kwangu ilikuja kuwaje tena??? mi si ndo uliniamini niwe mkabaji??
Usisahau na juisi ya Ukwaju!!
Ona ulivokuwa mjeuri sasa...!!!
dah nimekumbuka ila kwa fundi ally usiend etena ana tabia mbaya...ndo nini kukupima nusu saa eti kifuani tu?
Unataka kupigwa ban eeh? kisha iwe extended hadi kwetu!π
nita do ze nidiful ila sasa conflict of interest..kama mimi na hommie nod majaji tena?
usivue usije wapa watu faida ila nakumbuka kisha roho inauma ndo maana B! we si wajua?hahaaaa B bana mi staki, ntaivua ujue hapa hapa nilipo!!!
hiv huwa ina extend hii kitu B??
Hommie am watching!!!
yanakuwa hayo tena jamani? Lakini huwaga sina shaka kabisa na shemeji yangu,namwamini.swa hommie we watch while I do ze nidiful hapa na shemeji kuvumbua kipaji
yanakuwa hayo tena jamani? Lakini huwaga sina shaka kabisa na shemeji yangu,namwamini.
usivue usije wapa watu faida ila nakumbuka kisha roho inauma ndo maana B! we si wajua?
yeah kama binamu anaipata inawafikia hadi wapwaz...sasa unataka itokee..hawa wata do ze nidiful!
hahaaa the above is well noted B!!
afu kweli kichwa yangu imekuwa slow(usingizi kweli ni afya)
when you spoke of yellow and kupinga maendeleo....sikuelewa
hahaaaaaaa
hahaaa B mi kule leo siendi bana, napata night mares nikisoma ile kitu so ntakuambia kwa njia nyingine tu.....hahahaa kumbe B LOL afadhali ssa umenielewa eeh nilikuwa na refer wapi
sasa umeshaconsult the holi buku nenda kanipe majibu kule imekatazwa wapi
hahaaa B mi kule leo siendi bana, napata night mares nikisoma ile kitu so ntakuambia kwa njia nyingine tu.....
Noted B, hope you wont mind eeh
Damn Hommie!swa hommie we watch while I do ze nidiful hapa na shemeji kuvumbua kipaji
Damn Wifey!yanakuwa hayo tena jamani? Lakini huwaga sina shaka kabisa na shemeji yangu,namwamini.
Damn Hommie & WifeyπππYou can say that again shemeji..sasa msikilizie hommie wangu apo....π