Nimewai kuhudhuria show ya diamond sauti ya kuimba anayo ila hana mazoezi ya kuimba live hivyo basi hana uwezo wa kuimba live na mtu akafurahi!anaweza kuimba kwa kugandamizia ndio mtafurahi lakini si live!
+++++++++++++++++++++
Nimehudhuria show nyingi za christian Bella yani kwanza huwa anaimba akapela mwanzo mwisho halafu baadae ana anza kuimba na vyombo hakika huyu ni mfalme wao maana ana uwezo mkubwa wa kupangilia sauti bila kuchoka!
Yani kwenye show zake huwezi kuchoka na anaimba nyimbo zake zote na watu wana muambia arudie tuu yani mtachoka ninyi!
Ni dhambi ya muziki kumlinganisha Christian Bella na Diamond!