Christian bella Kubadilisha Passport

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,642

akihojiwa E. A Radio mapema Leo Jumamosi Nov 25.2017

The king of vocalist Melody Christian Bella Obama.
amesema yupo hatua ya mwisho kuachana na uraia wa nchi yake Kongo DRS ya Zamani na kuwa raia wa Tanzania na anategema kukamilishautaratibu huo kabla ya wiki ijayo Disemba Mosi

Mkongomani huyo amesema toka amekuwepo bongo ametumbuiza Ikulu zaidi ya mara Tatu utawala wa JK na huu wa Magu tofauti na Kongo ambako hujawahi hata kukanyaga Ikulu ya Joseph Kabila.

Pia Rais huyo wa Masauti Bongo anaendelea kuwashukuru watanzania
 
Hizi ndio sifa za mgeni kuomba uraia wa Tanzania? Au mimi ndio sijaelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…