Christian Gregory- Chakubanga

Christian Gregory- Chakubanga

You are right.

Wengi wamekufa masikini kama akina Daudi Tingatinga, George Lilanga, Philip Ndunguru ( msanii wa kwaza wa Gazeti la Sani aliyebuni characters kama akina Dr. Love Pimbi, Kipepe, Lodi Lofa and Ndumilakuwili) pia John Kaduma. Wote Majina yamebakia kuwa historia.

...Mkuu, hapo kwa Phillip Ndunguru umenikumbusha mbali sana! Nakumbuka hao characters walivyotuchekesha sana wakati gazeti la Sani Original lilipoingia mitaani kwa mara ya kwanza na pia kwenye kitabu chake cha Mzee Meko, nadhani ilikuwa miaka ya mwishoni ya 70s! Nchi hii ingekuwa na sheria kali za copyright nadhani mpaka leo hii familia ya Phillip ingepaswa kuwa inafaidika na hawa wanaokopi characters wake kwenye hii Sani ya siku hizi, lakini ndiop hivyo tena.

 
asante sana maxshimba hii post ya zamani lakini ndo naiona leo
 
Du tena mzee PWAGU ndiyo hivi tumemalizia kumzika bofya chini hapo.
BURIANI MZEE PWAGU, TANGULIA! - Global Publishers

Duh..mzee Pwagu Mungu amrehemu.
Pwagu.jpg


Mzee Rajabu Hatia ‘Pwagu' enzi za uhai wake
 
He died late 1988 or early 1989. He was my neighbour. He was not even known in the neighbourhood by his real name. Everyone called him Chakubanga to the extent even his kids were referred to as So and so chakubanga. Up to this day they are still called the same way, even his grandchildren are called the same way.........
Can I get More info about his family and the person?
 
Back
Top Bottom